Hilo jina lako ndo linakupa laana hiyoWasipokweka leo hakika wataniua nimebakiza 150 na kila sehemu madeni wife kakopa huko kwenye vicoba hata kutoka nje hataki, jamani mwenye 20000 anikope nitulize hizi njaa kabla ya mshahara hujatoka.
Hakika huu uzi unatupa moyo na kutukutanisha na wahanga wenzetu dah njaa sio wakuu.huu uzi uwekewe lamination π€£
π€£π€£ muda wa nyongezaDakika za jioniiiii hazifikiπ€£π€£π€£π€£
Achana na jina wallah hali si hali kama una 5000 nitumie ngawira zikitoka takutoa.Hilo jina lako ndo linakupa laana hiyo
Nikutumie kwenye namba ipi Kiongozi, usisahau wakati wa kurudisha utume Li Ten sasa πMwenye alfu nane anipe jioni uhakika
Kwa hali hii, mini naoa mshahara unaweza kusoma jioni sana au mapema kesho asubuhi.Ila wasipoweka leo pesa, wameua.
Salary slip sio mambo tayariKwa hali hii, mini naoa mshahara unaweza kusoma jioni sana au mapema kesho asubuhi.
We hela yako imekufanya uwe Kitombile ndio maana haikai,punguza hizo mambo mjomba utabakiwa na hela kibao na maendeleo utayaonaWasipokweka leo hakika wataniua nimebakiza 150 na kila sehemu madeni wife kakopa huko kwenye vicoba hata kutoka nje hataki, jamani mwenye 20000 anikope nitulize hizi njaa kabla ya mshahara hujatoka.
Ile ni sehemu ya matumiziWe hela yako imekufanya uwe Kitombile ndio maana haikai,punguza hizo mambo mjomba utabakiwa na hela kibao na maendeleo utayaona
Tukutane mwakani mkuu.Samahani wakuu, hivi salary slip ikishawekwa kwenye mfumo inaweza kubadilishwa? Maana nilitegemea kupanda daraja mwezi huu lakini salary slip imeshaingia haina mabadiliko yoyote. HRO kaniambia muda huu kuwa kuna kitu walisahau kukiweka sawa hivyo eti nisubiri nitapanda tu!