Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Wasipokweka leo hakika wataniua nimebakiza 150 na kila sehemu madeni wife kakopa huko kwenye vicoba hata kutoka nje hataki, jamani mwenye 20000 anikope nitulize hizi njaa kabla ya mshahara hujatoka.
We hela yako imekufanya uwe Kitombile ndio maana haikai,punguza hizo mambo mjomba utabakiwa na hela kibao na maendeleo utayaona
 
Tukutane mwakani mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…