Hahaha........kwani si wote tunakuwa tumezeeka, hizo nguvu za kuhangaika na dogodogo unadhani tunazo basi πNyie si mnaenda kuhonga? Mama atahakikisha kila kitu kiko sawa hapo home
Mnakosema mnaenda kurejeshewa ujana ?Hahaha........kwani si wote tunakuwa tumezeeka, hizo nguvu za kuhangaika na dogodogo unadhani tunazo basi π
Hahaha.................ili azidi kunisimanga π€Ndo ukae na mama vizuri
Hahaha........mambo ya kwenda kuogeshwa kwenye jakuzi pamoja na kukandwa mwili sio πMnakosema mnaenda kurejeshewa ujana ?
Nimeona huu uzi, nikakukumbuka ππππ maana huu ni uzi wako. Shimo litatema muda si mrefu πMzigo tayari nini niende ATM? Hali sio nzuri.
Likitema tu uzi unafungwa. Tumechagua wenyewe wacha tusome namba.Nimeona huu uzi, nikakukumbuka ππππ maana huu ni uzi wako. Shimo litatema muda si mrefu π
mzigo bado mpaka tarehe 24Mzigo tayari nini niende ATM? Hali sio nzuri.
J4 hiyo? Duh.mzigo bado mpaka tarehe 24
waendelee kuongeza mikopo ya mahitaji yao madukaniAkina Mad Max Wana huo uvumilivu kusubiri hadi Jumanne? π
uzuri j4 mapema tu ngoma saa 3 mpaka 5 asubuhiJ4 hiyo? Duh.
Kesho nitakua ghetto job nitaenda j5.
Dah, haina shida tutasubiriauzuri j4 mapema tu ngoma saa 3 mpaka 5 asubuhi
Hahaha.............itafikia wakati wakienda Dukani jamaa anafunga duka lakewaendelee kuongeza mikopo ya mahitaji yao madukani
Nimehamia mtaa mpya, sikopesheki.waendelee kuongeza mikopo ya mahitaji yao madukani
Kuna daftari letu aisee.Hahaha.............itafikia wakati wakienda Dukani jamaa anafunga duka lake
Hatari sana Mkuu πKuna daftari letu aisee.