PesaX, Mkopo chap chap na Mkopo mkononi wanataka chaoMbona uzi umefufuka! Mambo tayari nini, nisije nikafia humu ndaniπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Cc Mpaji Mungu
Nasikia chezea wote ukikopa OYA umekwishaPesaX, Mkopo chap chap na Mkopo mkononi wanataka chao
Nasikia chezea wote ukikopa OYA umekwisha
Ukiona hii gari imepaki nje ya nyumba ya mtu jua kimenukaNasikia chezea wote ukikopa OYA umekwisha
Kote huko nadaiwaπ€£PesaX, Mkopo chap chap na Mkopo mkononi wanataka chao
Watulie ni salio lako unauliza sio laoπ€£Bado mkali. NMB wamenipigia simu, wanaona nacheki salio x10 ndani ya saa. Wamesema watanitumia msg.
Sijawahi kopa kwenye hizo application naogopa kudaiwaNasikia chezea wote ukikopa OYA umekwisha
Mi sijawahi kudaiwa hata offline labda zile pesa ndogo ndogoKote huko nadaiwaπ€£
Weeeeh mbona nakudai na hunilipiπββοΈπββοΈMi sijawahi kudaiwa hata offline labda zile pesa ndogo ndogo
Mimi na mrembo kama ww hatushindwani nipe location nikuachie card ya bank na passwordWeeeeh mbona nakudai na hunilipiπββοΈπββοΈ
IST ina seat 5 Pamoja na dereva. Ila watashuka mabonge 8 humo na bado wengine unaawaacha ndani wanaenda kushukia mbele.
Siku hizi App huwezi piga screenshot, ila digits 3 ndio zimebaki ujue.Watulie ni salio lako unauliza sio laoπ€£
Ahahaha π€£ π€£ π€£ π€£ π€£
Pale pale pa juziπ€£Mimi na mrembo kama ww hatushindwani nipe location nikuachie card ya bank na password
Ni kufokeana na watoto tuπ₯Mambo siyo mambo, wikend inaisha kinyonge Sana.
Nimewaambia waende wakacheze mtaa wa sita huko maana hapa Kwangu wananipigia kelele nahisi kuchanganyikiwa zaidi.Ni kufokeana na watoto tuπ₯