Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Bora iwe hivyo mkuu, yaani kama ni kweli basi bora uwe na heshima ya hicho kidogo unachokipata. Sasa tena kesho unaanza na supu asubuhi, alafu umwagilie moyo kidogo
Nishawahi apia mshahara sinywei bia. Labda posho na michongo mingine.
 
Nimecheka unajua dah hivi naweza kupiga hela??
wasikudanganye. hao hao watumish ikifika anataka gar
anaenda kwa mtu anamvua.ya mkonon. napenda pia kupongeza voda faida asubuh nimeamka nimekuta sh 740 kama faida. japo jana salary advance iligoma kutoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…