Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili huwa mnadharau sanaKwa hali hii ukifutwa kazi si utakufa kabisa
Dah...mshahara ni malipo anayopata mtu baada ya kufanya kazi fulani.... Asiye ishi kwa mshahara ni yule hotpot family ...yaani...kula kulala...kwani hata kama umejiajiri lazima ujilipe mshahara..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuishi kwa mshahara, ni stress sana..
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mshahara wa mwezi huu vp jamani watoto wanahitajika kurudi toka mashuleni kwa likizo ya dharura.
Dah...mshahara ni malipo anayopata mtu baada ya kufanya kazi fulani.... Asiye ishi kwa mshahara ni yule hotpot family ...yaani...kula kulala...kwani hata kama umejiajiri lazima ujilipe mshahara..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Beretta ARX 160
Kwani wao ndiyo waliomba wafunge shule?Stahiki zao zipo palepale mkuu!Ad walimu mnadai mshahara mwezi huu ambao mmeambiwa mfunge shule kwa Siku 30.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani unaulizia mshahara leo duuu learn ways to increase your financial freedom bro why are you broke?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwezi huu mshahara hakuna. Utapata kuanzia mwezi ujaoMshahara wa mwezi huu vp jamani watoto wanahitajika kurudi toka mashuleni kwa likizo ya dharura.