Mshahara wa Messi Pound 1.2 Million kwa wiki moja

Mshahara wa Messi Pound 1.2 Million kwa wiki moja

Now anazurura sabasaba kageuka kuwa maonyesho 😀😀 hashim daah
Cha muhimu tu ni kuwa alimsomesha mdogo wake na kumnunulia mama nyumba Masaki 😂😂🤣
 
Barca inamuhitaji Messi kuliko Messi anavyowahitaji Barca...

Ndo maana PSG na Man City walikuwa tayari kumlipa zaidi ya Barca
si PSG wala si Man city wenye uwezo wa Kumlipa Messi, labda Messi aamue kupunguza mshahara wake.

hizo tetesi za usajili zilikuwa ni kabla ya mshahara wa Messi kuleak. club pekee zinazoweza kulipa huo Mshahara ni Man U, Madrid na Bayern.

1. Man city mapato yake yameshuka hadi pound 478M ana hasara 126M, mshahara wa Messi ni around $120M pounds kwa mwaka ambayo ni kama 25% ya pato zima la City, wana Mu Afford vipi hapo?

2. psg ana mapato 462M pounds chini ya City na yeye pia corona imemuumiza, mshahara wa Messi tu ni zaidi ya 25% ya pato la club hivyo hawana hela ya kumchukua.
 
Barca inamuhitaji Messi kuliko Messi anavyowahitaji Barca...

Ndo maana PSG na Man City walikuwa tayari kumlipa zaidi ya Barca
speak of the devil, kuna mtu amepost sasa hivi figure za mishahara
wage.PNG


hapo Unaona kwenye top 10 man U, bayern na madrid pekee ndio wanatoa Hela ndogo kwenye mishahara compare na pato la timu, even ukiongeza 120M kwenye figure zao hawamfikii Barca.
 
Kwa Messi hiyo pesa ni ndogo inabidi aongezewe anachofanya ni kikubwa kuliko anacholipwa
 
hivi hiyo ni pound ipi!!??!! ya Sudan au!!?!!

According to Goal, Messi's last contract earned him a net salary of around 515,000 euros ($610,000) a week meaning his new contract would see him take home 257,000 euros ($305,000) a week.
hii ni sawa na 220,406 British St pound.
labda mi sijaelewa mleta uzi anamaanisha nini wajameni!!!! nielewesheni
 
hivi hiyo ni pound ipi!!??!! ya Sudan au!!?!!

According to Goal, Messi's last contract earned him a net salary of around 515,000 euros ($610,000) a week meaning his new contract would see him take home 257,000 euros ($305,000) a week.
hii ni sawa na 220,406 British St pound.
labda mi sijaelewa mleta uzi anamaanisha nini wajameni!!!! nielewesheni
Angalia tarehe ya ulichosoma. Mshahara wake ulileak mwaka huu.
 
Kw hiyo kabla hajapunguza mshahara wake kwa 50% alikua analipwa 2.4m £ / week? Hii sio kweli, emu fuatilia hiyo habari vizuri, mshahara wake Messi ulikua around £ 500k / week
 
Hahahah kitachofata ni Pombe na wanawake matokeo yake msimu ukiisha wanamtoa kwenye timu! Hatunaga nidhamu ya pesa!

Haya tuliyaona kwa Hasheem Thabit vurugu za mda mfupi jamaa alikuwa anakunja 150M kila week starehe zikazidi akazalisha mademu wa kimarekani acha tu! Wakamtema NBA.
Jamaa ushapigwa ban [emoji1]

Mod wako fasta[emoji1787][emoji1787]
 
Mbona kama Chelsea ndio anaongoza kwa faida kuliko wote? Hebu nifahamishe hapo
speak of the devil, kuna mtu amepost sasa hivi figure za mishahara
View attachment 1854239

hapo Unaona kwenye top 10 man U, bayern na madrid pekee ndio wanatoa Hela ndogo kwenye mishahara compare na pato la timu, even ukiongeza 120M kwenye figure zao hawamfikii Barca.
 
Hiyo habari umeitoa kwenye tovuti za udaku, mshahara wa Messi kabla ya kushushwa kwa asilimia 50 uliko si zaidi ya 500k
 
Mbona kama Chelsea ndio anaongoza kwa faida kuliko wote? Hebu nifahamishe hapo
Ni kweli ana faida kubwa ila logic hapa ni kiasi cha mshahara na pato/thamani ya Timu.

Chelsea Asilimia 70 ya pato lake linatumika kwenye mshahara. Hivyo hawezi kum Afford messi, sababu anabakia kama na 120M tu kufanya mambo mengine, ambayo inakuwa exactly kipato cha messi, hivyo akimsajili atakosa hela nyengine kama vya kula vya wachezaji, repair za uwanja, hela za usafiri na gharama nyengine za club.
 
Hawa Barcelona wamekosa akili kabisa, wataendelea kuuona kwenye TV ubingwa wa UEFA kwa miaka kadhaa mbeleni
 
Mtuwekee sasa kwa kubongo wengine atujasoma
 
Back
Top Bottom