Mshahara wa Messi Pound 1.2 Million kwa wiki moja

Mshahara wa Messi Pound 1.2 Million kwa wiki moja

Na huyo mfanyakazi akitaka aongezee mtoto wake na mjukuu wafanye kazi kweli kweli mpaka wastaafu bado hawataingiza hicho kiwango
Vizazi kumi ndio vinaweza kufikia hicho kiasi
 
Angalia tarehe ya ulichosoma. Mshahara wake ulileak mwaka huu.
hayo ni makubaliano aliyoingia majuzi na barca, wamepunguza mshahara wake

Messi to sign new five-year Barcelona contract & take incredible 50% wage cut​

Ruben Uria & Adria Soldevila
Last UpdatedJul 14, 2021
According to Goal, Messi's last contract earned him a net salary of around 515,000 euros ($610,000) a week meaning his new contract would see him take home 257,000 euros ($305,000) a week.
 
hayo ni makubaliano aliyoingia majuzi na barca, wamepunguza mshahara wake

Messi to sign new five-year Barcelona contract & take incredible 50% wage cut​

Ruben Uria & Adria Soldevila
Last UpdatedJul 14, 2021
According to Goal, Messi's last contract earned him a net salary of around 515,000 euros ($610,000) a week meaning his new contract would see him take home 257,000 euros ($305,000) a week.
Kwanza Goal sio reliable source. Na tumia tu Akili mesi alipwe 257K?

Hao hao goal leo wame report mshahara mwengine


Huo Mshahara wa Euro 500 upo reported na Forbes, BBC na vyombo vingi vikubwa, hivyo ni kitu cha uhakika na sio habari za kidaku.
 
Wajanja tu hao wanaficha data tu ila mzigo anapokea wa kutosha messi sio mjinga kiasi hicho
 
Huyo Messi angecheza zama zile mabeki wakitembeza viatu huku nyingi refa akipeta hakuna ambaye angemfahamu. Ashukuru anacheza zama hizi ambazo sheria nyingi "zimebumbwa" eti kuwalinda mastaa.

Pele alilazimika kustaafu soka akiwa na miaka 29 mwaka 1970 kwa sababu ya kufanywa mlengwa wa faulo na timu pinzani na hivyo hivyo kwa wachezaji wengine kama akina Tostao, Garrincha, Puskas, Muller, Cryuff, Zico, Rossi, Rumeniegger, Boniek, Kempes nk.

Huu mpira wanaocheza akina Messi na Ronaldo ni mdogo sana kwa mpira uliokuwa unachezwa na wachezaji niliowataja hapo juu wakati sheria za faulo hazijaletwa na Fifa ili kuwalinda wale wanaoitwa "Mastaa".
 
Back
Top Bottom