Mshahara wa miradi ya RUWASA

Mshahara wa miradi ya RUWASA

Hahahahahah this is Tanzania unaweza ukafariki hujaonjaga cake ya taifa af fresh tu
 
He he he he!! Mkuu naona date zako zile ulizokuwa unatowaga hazikutoa matokeo tena [emoji17]
Aiseee hi ngoma nzito sana imenizidi uwezo Sina Tena hamu na ruwasa aisee kama tu majina kuyachakata imechukua muda namna hii borea niwapotezee tu ikitokea Basi nitaenda ila sitaki kuwaza now nimeelekeza akili utumishi UDOM nitakapoenda kupiga interview pengine next month
 
Hii kitu inavyoonekana imeshachakachuliwa juu kwa juu, tutafute mishe nyengine sio tunajiumiza kwa jambo lisilo julikana litakuwa lini.

#ruwasa#kumtua#ndoo#mama#kichwani.
#maji#bombani
 
Aiseee hi ngoma nzito sana imenizidi uwezo Sina Tena hamu na ruwasa aisee kama tu majina kuyachakata imechukua muda namna hii borea niwapotezee tu ikitokea Basi nitaenda ila sitaki kuwaza now nimeelekeza akili utumishi UDOM nitakapoenda kupiga interview pengine next month
Mkuu bora ucheki zari huko maana bila ya connection siku hz mambo hayaendi.

Umaskini kitu kibaya sana aisee
 
Back
Top Bottom