Mshahara wa miradi ya RUWASA

Mshahara wa miradi ya RUWASA

Mie nlishahau hata huu uzi sikumbuki lini nimekoment, ila yale ni mambo ya kisiasa tu kumudu wanaojitolea kwa Tanzania nzima unaona mchezo nini?

Hii ishu haipo watu watafute kazi za kufanya tushkuru Mungu tu kwa kutumia gharama zetu na wengine hadi kutuma kwa njia ya EMS baadae kimya kimetanda, Alhamdullilah alaa kulli haal
 
Dah poleni Sana ndugu zangu nahisi bajeti haikupangwa ndo maana ila sijui shida Nini maana tangazo lilikuwa rasmi kbs
 
Dah poleni Sana ndugu zangu nahisi bajeti haikupangwa ndo maana ila sijui shida Nini maana tangazo lilikuwa rasmi kbs
Halafu mzee ukawa unawapanga wenzako tarehe za majina kutoka hahaha ujue ndege JOHN we miyeyusho sana.
 
Halafu mzee ukawa unawapanga wenzako tarehe za majina kutoka hahaha ujue ndege JOHN we miyeyusho sana.
Itakuwa wame cancel hip program labda hela hamna ruwasa hawakupangiwa fungu..bahati nzuri nikabahatisha ajira kutoka kwa katibu wizara hiihii ya maji ndo maana nimefurahi zimwi la ruwasa nimeliruka...Kuna jamaangu Yuko cwbos moja Tanga wilayani muheza huko ye Ni supervisor jumuiya Yao kubwa Ana mafundi watano...anakunja mpk Mia nane kwa Mwezi...mwingine Yuko chamwino anapata 150000 makusanyo Yao madogo mno.
 
Itakuwa wame cancel hip program labda hela hamna ruwasa hawakupangiwa fungu..bahati nzuri nikabahatisha ajira kutoka kwa katibu wizara hiihii ya maji ndo maana nimefurahi zimwi la ruwasa nimeliruka...Kuna jamaangu Yuko cwbos moja Tanga wilayani muheza huko ye Ni supervisor jumuiya Yao kubwa Ana mafundi watano...anakunja mpk Mia nane kwa Mwezi...mwingine Yuko chamwino anapata 150000 makusanyo Yao madogo mno.
daaaaah me natafta hata sehemu ya jumuia, maana nimesugua benchi 2years
 
Back
Top Bottom