ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Tusubiri mpaka Mwezi wa nane tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa duuhTusubiri mpaka Mwezi wa nane tu
Hio seap niliacha mimi,,Wakuu vp hawa jamaa wa seap program huwa wanatoa chochote? Au ni kwa baadhi ya taasisi tu
Wakuu vp hawa jamaa wa seap program huwa wanatoa chochote? Au ni kwa baadhi ya taasisi tu
Ila tanroads na sehem za mamlaka kama mamlaka za maji huwa wanatoa toa au ikoje kwa sehem kama hizo?Hio seap niliacha mimi,,
Hawatoi kitu skuiz na intern zenyewe za skuiz pia kupata sehem wanalipa ata kitu kidg nayo ni inshu..
Magufuli ameharibu sana sehem kibao yani,
Ao Erb skuiz hawatoi sent tano
Sio tanroad ya magufuli,,Ila tanroads na sehem za mamlaka kama mamlaka za maji huwa wanatoa toa au ikoje kwa sehem kama hizo?
Umeongea kwa hisia sanSio tanroad ya magufuli,,
Mambo yalikua bila bila.,sijajua sasa labda vit vimebadilika.
Issue ya tanroad ilishawai tokea waliismamia hao hao erb but condition ilikua no financial support.
Mkuu ni kitu gan kimekupa hope kuwa hawa ruwasa watasbabisha japo kdogo ukaachana na seapSio tanroad ya magufuli,,
Mambo yalikua bila bila.,sijajua sasa labda vit vimebadilika.
Issue ya tanroad ilishawai tokea waliismamia hao hao erb but condition ilikua no financial support.
Maana zote ni same same!! Nikiona wanazingua ntaanza seap, maana nlishapata placement kutoka ERBMkuu ni kitu gan kimekupa hope kuwa hawa ruwasa watasbabisha japo kdogo ukaachana na seap
Sent from my 1201 using JamiiForums mobile app
Mimi skuacha seap sbbu ya ruwasa niliacha seap sbbu ya mazngira magum,hela hakunaMkuu ni kitu gan kimekupa hope kuwa hawa ruwasa watasbabisha japo kdogo ukaachana na seap
Sent from my 1201 using JamiiForums mobile app
Mwamba upo updated san na infoAsee bado ila kikao Cha juzi baina ya aweso na mameneja huenda walijadili tusubiri hizi two weeks zinazokuja
Kawaida coz nime wa follow ukurasa wao wa fbMwamba upo updated san na info
Katibu mkuu wa wizara amaKawaida coz nime wa follow ukurasa wao wa fb
Maji Tanzania
Ruwasa
So Wana upload video naona juzi palikuwa na kikao Cha aweso na mameneja wote was wilaya nadhani Ni kwenye kumbi za bunge akawaambia kuwa bajeti ishapita na Kuna nyongeza ya billion 200 so wakandarasi wajiandae na utekelezaji...nadhani mameneja wakirudi ofisini kazi ya Kwanza Ni kutuita
By the way pia nahisi wanaweza kusubiri Kwanza mpk zile za kwenye secretariet ya ajira zitoke I mean mpk oral interview kwenye Mwezi wa nane itakuwa so Sina uhakika although nimemtumia meseji katibu mkuu kuuliza Bado hajanijib
Yes .anton sanga ila naona kimya sijui km atanijibKatibu mkuu wa wizara ama
Mimi skuacha seap sbbu ya ruwasa niliacha seap sbbu ya mazngira magum,hela hakuna
Hali mbaya sana,nkashndwa kuendelea..
Mkuu ingelikuwa vzur zaidi tungewapigia simu makao makuu ya ruwasaYes .anton sanga ila naona kimya sijui km atanijib
Ata instagram wapo kwa jina ruwasatzKawaida coz nime wa follow ukurasa wao wa fb
Maji Tanzania
Ruwasa
So Wana upload video naona juzi palikuwa na kikao Cha aweso na mameneja wote was wilaya nadhani Ni kwenye kumbi za bunge akawaambia kuwa bajeti ishapita na Kuna nyongeza ya billion 200 so wakandarasi wajiandae na utekelezaji...nadhani mameneja wakirudi ofisini kazi ya Kwanza Ni kutuita
By the way pia nahisi wanaweza kusubiri Kwanza mpk zile za kwenye secretariet ya ajira zitoke I mean mpk oral interview kwenye Mwezi wa nane itakuwa so Sina uhakika although nimemtumia meseji katibu mkuu kuuliza Bado hajanijib