Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃