Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazeeka vibayaHaya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?!
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara??
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake NI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Sasa wokovu na mshahara wap na wap😱afu unajidai umeokoka😂 kwenda
Ipi sasa?! Ndio tusaidie na weweMsaidie apate njia nyingine ya kuongeza kipata
Si Bora wewe mwenye laki 2 kila.mweziNi hatari Sana kudate na mwanamke asiyeweza hata kujigharamia nauli
Ivi kwanini Kila mwanamke unamwona NI kahaba Tu??Kama wewe ni kahaba kimbia haraka usijepotezewa muda na pesa
Doh, same mindsetUkiona huyo mwanamke anajifikiria Mara mbilimbili, inamaanisha kwamba huyo kaka kachagua mke ambaye si type yake. Kuna mwanamke akiskia bwanake anapokea laki 2 ataona mme wangu Ana pesa, Ila kwa mwingine atasema huyu mbona hata nikimuomba vocha ya buku nitakuwa namuonea tu. So huyo jamaa achange karata zake vizuri.
Jaman maisha ya kausha damu magumu nyieUna jua huwa na angalia Sana wadada wenye style hio🤔.
👉Hivi mna jus maisha yalivyo magumu, mtu mpaka ajipate Sio rahsi aisee.
👉 Badala ya kum support azidi kupambana, we ndo una fikiria kumkibia. Shame upon you.
👉Ukimwacha halafu aje kutoboa, sijui utasema nini 🤔
👉 Kaangalie nyimbo reason by me by rude boy, uta elewa maisha ni uvumilivu na kuaminiana.
View attachment 2703984
200000 watu wanaingiza Kwa masaa wengine Kwa sku ,Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?!
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara??
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake NI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Msaidie aishi basi taajiriMpka kuomba ushauri ishadhihirika hawezi ishi na Jamaa yetu.
Sasa ulikuja kutukana akina mama au kumsaidia dada WA watu??Ukiondoa hiyo 200K ya huyo jamaa what do you (dada wa watu) offer kwenye mahusiano hayo apart from Nyapu (probably inaweza kuwa inanuka pia/ haina maintainance)??
Kimbia kabisa [emoji1787][emoji1787]Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?!
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara??
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake NI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]