Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
Kwahiyo afanyaje, kizungu hawezi somaMwambie aje huku mi nazidisha hiyo mara kumi ila ajue hayatakuwa mahusiano bali mkataba.
Anyway,love isn't about money
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo afanyaje, kizungu hawezi somaMwambie aje huku mi nazidisha hiyo mara kumi ila ajue hayatakuwa mahusiano bali mkataba.
Anyway,love isn't about money
Sasa si Bora Huyo alieuliza, kuliko aliekaa kimya akasepa?!Nyapu inahusika maana kwa akili za huyo mwanamke sidhani kama anaweza kuwa hata na mchango wa mawazo yenye manufaa kwa huyo jamaa zaidi ya kutumia nyapu kama bargaining chip
MWANAO utamshauri ivyo auMITA 1000
Aahaaaaaaa dahMwalimu WA shule ya msingi anaeanza kazi
Kabisa, kabisa Yaan..... nyumba yenye dhiki amani ni 2%MWANAO utamshauri ivyo au
Kwa mtazamo wangu wote akili zao ni sawa.Sasa si Bora Huyo alieuliza, kuliko aliekaa kimya akasepa?!
Wakope mahali waanzaishe biashara nyingine ya ziada naelewa si rahis lakini inawezekana .Wasalimie basi plan B afanyaje
Labda mkopo WA kausha damuWakope mahali waanzaishe biashara nyingine ya ziada naelewa si rahis lakini inawezekana .
AiseeKabisa, kabisa Yaan..... nyumba yenye dhiki amani ni 2%
Nyingi mno mm hata ambae Hana mshahara kikubwa upendo [emoji4]Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?!
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara??
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake NI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Anapenda pesa nyingi afu kizungu chenga.Kwahiyo afanyaje, kizungu hawezi soma
Kodi ipi??Mwambie aje kwangu nalipwa mara 20 ya hiyo, baada ya kodi.
Chukua maua yakoNyingi mno mm hata ambae Hana mshahara kikubwa upendo [emoji4]
Hii mikataba mnaishiaga wap jaman na mikataba yenu??Anapenda pesa nyingi afu kizungu chenga.
poa mwambie aje hivyo hivyo lakini tunakuwa na mkataba sio mahusiano
Very trueNi hatari Sana kudate na mwanamke asiyeweza hata kujigharamia nauli
Unaitwa huku uje uchukue nauliVery true
We mbuzi ndo nini hicho 😁🤒Aahaaaaa
Basi kuwa tajiri wewe😁🤒Jaman maisha ya kausha damu magumu nyie
Hata Mungu hapendi maisha ya chini ujue
We kondoo hicho ni kicheko 🤣🤣🤣🤣🤣We mbuzi ndo nini hicho 😁🤒