Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?

Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?

Kweli wewe NI mwiba
Aisee dah sijawahi kupata bahati ya mwanamke anaeomba vijihela kabisa mimi naangukiaga kwa maindependent woman tu yaani mpaka kero unakuta dinner anataka alipe yeye hadi ukilipa linanuna. Nikizubaa nanunuliwa mpaka boxer sio kwamba ni mishangazi hapana mwanamke mwenye mishe zake saaafi sasa ninamiss umwamba kwelikweli. Nisogezee huyo nihongehonge na mm nijione mwamba atleast.
 
Au unalipwa laki 2 kama mwalimu??
Hivi walimu wanalipwa laki 2 kweli? Au ni uchonganishi tu?
Mbona wanajenga, wanasukuma ndinga kama IST, VITZ PASSO n.k, na watoto wao wanasoma shule za private (sio wanazofundisha wao)
Sasa inakuwaje mnawananga kila siku kana kwamba wao ndo wa mwisho kabisaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kma wewe ni kahaba kimbia haraka usijepotezewa muda na pesa
Ivi kwanini Kila mwanamke unamwona NI kahaba Tu??
Kha, kweli Afya ya akili mnaumwa wengi
Huo ndiyo ukweli, huwezi mbagua mmeo kisa kipato, labda kama upo kimaslahi..
 
Hivi walimu wanalipwa laki 2 kweli? Au ni uchonganishi tu?
Mbona wanajenga, wanasukuma ndinga kama IST, VITZ PASSO n.k, na watoto wao wanasoma shule za private (sio wanazofundisha wao)
Sasa inakuwaje mnawananga kila siku kana kwamba wao ndo wa mwisho kabisaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
labda kama anafanya kazi kwenye shule wanazolipa ada mil 2 - 4 kwa mwaka
 
Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?

Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?

Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote

Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Mwabiee



Ruuuuun bieeeetttch ruuuun
 
Back
Top Bottom