Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?

Mshahara wa mpenzi wangu NI TSH 200,000 Kwa mwezi, nikae au nimkimbie?

Kuna jamaa nimetoka kumshauri asije akajikoroga kuoa pisi masikini aka zenye vipengele kwa sababu kama hizi tu... Yaani salary ya mwamba pisi inajewekea na hesabu zake humohumo inajipimia ikiona haikai inatafuta chocho sasa ndo mahusiano gani hayo???
Aisee, akasemaje mwamba?!
 
Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?

Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?

Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote

Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Mwulize yeye kwani anaingiza sh ngapi kwa mwezi?
 
Wanaume ndio maana tunazeeka mapema sana, hapo unahitaji akufikishe kileleni, akupende, akutunze, atunze watoto, ndugu zako n.k. Tutafika mbinguni tumechoka sana.
 
Yani wahangaike wote halafu baadaye wakifanikiwa mwanaume aanze kutembea na wanawake wa type yake, mkuu wanawake siyo kwamba hawapendi kuwasupport wapenzi wao ila wanazijua tabia za wanaume, wa kulaumiwa si wao bali ni wanaume wanaposhindwa kuzuia tamaa zao wakifanikiwa
Unataka kuniambia kipindi mwanaume amemtongoza huyo mwanamke alikuwa hajampenda nikimaanisha alimtaka kupozea tu ili akipate pesa amwache,inaweza ikawepo lakini sitaki kuamini kwamba wanaume wote tupo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka kuniambia kipindi mwanaume amemtongoza huyo mwanamke alikuwa hajampenda nikimaanisha alimtaka kupozea tu ili akipate pesa amwache,inaweza ikawepo lakini sitaki kuamini kwamba wanaume wote tupo hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe hauko hivyo ni wewe, wanaume wengi husema wao wenyewe kuwa wanapokuwa broke hutafuta wanawake wa level zao ili mradi tu maisha yaende na wakiwa rich ndio wanatafuta sasa wanawake wa type zao, huwa nawashangaa sana wanaume mnapojiona innocent kana kwamba ninyi hamuwezi kuwafanyia ushenzi wanawake
 
Back
Top Bottom