Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
WEEE! Pole bossDah imeniuma,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEEE! Pole bossDah imeniuma,
Tamaa zitakuua kama unataka hela nyingi kajiuzeHaya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
bora usinge comment asee, usitafute magomvi na watu kama huna msaada wa kutoaTamaa zitakuua kama unataka hela nyingi kajiuze
Amsaidie wahangaike wote halafu baadaye wakifanikiwa mwanaume aanze kutembea na wanawake wa type yake, mkuu wanawake siyo kwamba hawapendi kuwasupport wapenzi wao ila wanazijua tabia za wanaume, wa kulaumiwa si wao bali ni wanaume wanaposhindwa kuzuia tamaa zao wakifanikiwaUna jua huwa na angalia Sana wadada wenye style hio[emoji848].
[emoji117]Hivi mna jus maisha yalivyo magumu, mtu mpaka ajipate Sio rahsi aisee.
[emoji117] Badala ya kum support azidi kupambana, we ndo una fikiria kumkibia. Shame upon you.
[emoji117]Ukimwacha halafu aje kutoboa, sijui utasema nini [emoji848]
[emoji117] Kaangalie nyimbo reason by me by rude boy, uta elewa maisha ni uvumilivu na kuaminiana.
View attachment 2703984
Yani wahangaike wote halafu baadaye wakifanikiwa mwanaume aanze kutembea na wanawake wa type yake, mkuu wanawake siyo kwamba hawapendi kuwasupport wapenzi wao ila wanazijua tabia za wanaume, wa kulaumiwa si wao bali ni wanaume wanaposhindwa kuzuia tamaa zao wakifanikiwaWanawake wa mjini bhana[emoji4]
Yaan Kuanza na mwanaume from the scratch mnaona ni kazi ngumu Sana
Ndo maana tukizipata huwa tunawakanyaga sana mjini afu tunarud kuoa wa kijijini[emoji4]
Ila kiukweli Zama hizi, Zime kaa kitapeli tapeli.Amsaidie wahangaike wote halafu baadaye wakifanikiwa mwanaume aanze kutembea na wanawake wa type yake, mkuu wanawake siyo kwamba hawapendi kuwasupport wapenzi wao ila wanazijua tabia za wanaume, wa kulaumiwa si wao bali ni wanaume wanaposhindwa kuzuia tamaa zao wakifanikiwa
Acha kutusumbua. Kama umeamua kuuza weka wazi ili sisi wadau tununue. Unazunguka sana. Huyo jamaa yako unamwonea tu. Achana nae apate mtu watakaeendana. WEWE NJOO TUUZIE SISI. I will be your loyal customer.Haya mnaolipwa laki 2 naomba mje mumsaidie dada WA watu amekwama huku?
Kwan skuhizi mishahara inaanzia TSH ngap wajameni au ndio vita ya Eukran na Russia imebana Kila kitu mpaka mishahara?
Jamani TSH 200,000 ndio anapewa Benki ishakatwa makodi yote
Ps:
Mpenzi wake nI mwanaume jamaa, sio mwanamke anaomba ushauri NI mwanamke! 🏃🏃🏃🏃🏃🏃
MamaSamia2025 kwani we 🤣🤣🤣 au basi rais wetu , BANDARIAcha kutusumbua. Kama umeamua kuuza weka wazi ili sisi wadau tununue. Unazunguka sana. Huyo jamaa yako unamwonea tu. Achana nae apate mtu watakaeendana. WEWE NJOO TUUZIE SISI. I will be your loyal customer.
Huyo manzi anazunguka kinyama hadi kusema kuwa ni rafiki yake kumbe yeye. Mimi huwa nawaheshimu sana mademu wanaojiuza hadharani kuliko hawa tulio nao kwenye mahusiano.MamaSamia2025 kwani we 🤣🤣🤣 au basi rais wetu , BANDARI
DaahHuyo manzi anazunguka kinyama hadi kusema kuwa ni rafiki yake kumbe yeye. Mimi huwa nawaheshimu sana mademu wanaojiuza hadharani kuliko hawa tulio nao kwenye mahusiano.
👍💯Huyo manzi anazunguka kinyama hadi kusema kuwa ni rafiki yake kumbe yeye. Mimi huwa nawaheshimu sana mademu wanaojiuza hadharani kuliko hawa tulio nao kwenye mahusiano.
Ulitaka msaada nenda UN au fuata ushauri mpenda pesabora usinge comment asee, usitafute magomvi na watu kama huna msaada wa kutoa
Sawa, ataskiaUlitaka msaada nenda UN au fuata ushauri mpenda pesa
Utakuwa Una Afya ya akiliAcha kutusumbua. Kama umeamua kuuza weka wazi ili sisi wadau tununue. Unazunguka sana. Huyo jamaa yako unamwonea tu. Achana nae apate mtu watakaeendana. WEWE NJOO TUUZIE SISI. I will be your loyal customer.
Nafanya nini?Money Penny 😰Kumbe ndio mnafafanyaga hvo aisee😋, ngoja nikamwambie akufumue🤣🤣🤣
Doh, sa matusi ya Nene?!Akimbie tu,ila akikimbia ahakikishe anakimbilia kwa baba yake mwenye mshahara mzuri.Matako yake.
NI kweli kabisaYani wahangaike wote halafu baadaye wakifanikiwa mwanaume aanze kutembea na wanawake wa type yake, mkuu wanawake siyo kwamba hawapendi kuwasupport wapenzi wao ila wanazijua tabia za wanaume, wa kulaumiwa si wao bali ni wanaume wanaposhindwa kuzuia tamaa zao wakifanikiwa