Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
Bado, wife ndiyo analalamika hapa namtuliza namwambia Mama anajenga nchi kwanza anaupiga mwingi sana, eti kanunaHabari waungwana?vipi jamani salary ya august 2021 imetoka??
Me tayari. Tumia inbox itakua effective.KAMA UKO SERIKALINI NADHANI MPAKA TAREHE 25 NA KUENDELEA HUKO
MKUU NAOMBA NIPIGIE KURA KWENYE LINK HIIhttps://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1903948/ ASANTE
Feedback.Hebu nichungulie salio
Hebu nichungulie salio
Mzee baba huwa unakwangua kila kitu,😁
Daaaa ngoja nami nicheki labda wametulia vijisenti vya tumbaku maana tangu mwaka jana tuliahidiwa zinatoka mwaka huuWakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
Hiyo buku 6 ina budget.Mzee baba huwa unakwangua kila kitu,😁
Huwa tunatumia tu lugha hiyo, lakini ukweli unajulikana [emoji16]
Imekaa vizuri mkuu,leo mtawekewa nadhani.Hiyo buku 6 ina budget.
Buku 3 kifurushi cha week.
Buku 2 nalipa Tozo ya Tanesco.
Buku 1 umeme LUKU.