Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
mkuu nahitaji kura yako link hii @https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1903948/
Nini tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nahitaji kura yako link hii @https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1903948/
Dah, maisha hayako fair, huyu anasubiri mshahara hana kitu na kuna mtu anasubiri akaununue simu.
Hahaha yaani acha man. Leo nimecheki salio mara 20 kidogo.Dah, maisha hayako fair, huyu anasubiri mshahara hana kitu na kuna mtu anasubiri akaununue simu.
Ina maana hadi mrudi Zambia?KAMA UKO SERIKALINI NADHANI MPAKA TAREHE 25 NA KUENDELEA HUKO
MKUU NAOMBA NIPIGIE KURA KWENYE LINK HIIhttps://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1903948/ ASANTE
Vp bado mkuu??Hahaha yaani acha man. Leo nimecheki salio mara 20 kidogo.
Usichukulie poa kwa kuwa umechungulia salary slip ya mtu. Kuna mambo ya allowance huwa yanatokea mara moja moja na yanasukuma gurudumu vizuri tuWachumia tumbo wana shida sana ukiangalia hati zao za mshahara unajiuliza hivi huyu mtu anaishije? na ana kakitambi eti, mimi huwa sielewi kabisaaaaa, sijui kama mnaona wengine shida za watu hawa na ndio mabingwa wa kupiga makofi na kusifia
Duuh!! Hata wewe Lupweko. Lol 😀Wakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
ulivyocheki vipi wameweka au tusubiri akusanye tozo kwanzaHahaha yaani acha man. Leo nimecheki salio mara 20 kidogo.
Gomz be serious nimetoka kucheki one hour iliyopita ilikua bado, we upo kada gani me kilimoTayari
well said na ipo hivyo siku zote na mara nyingi jumatatu salary huwa hawaweki cz ni siku ya kikao kwa idara nyingiili usipate shida kuhusu mshahara serikalini, baada ya siku ya kulipwa hesabu moja kuanzia siku inayofuata, kama 29 na 30 zitaangukia wikendi hapo utarajie mshahara hautoki mpaka jumanne ya wiki inayofuata, kwahio kuna wakati mshahara hulipwa baada ya siku 31 au 32 na kuna wakati mshahara hulipwa baada ya siku 28 au 29
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kweli kabisa Mtani mie hizo tozo ndo naona zinanizuzua kabisaa.Shadeeya umeamua kunifuata huku kabisa! Usinicheke bhana, hizi tozo hizi ndio maana tunajifariji kwenye soka 😂
View attachment 1905831
Usikariri maisha mtani 🤣🤣Kweli kabisa Mtani mie hizo tozo ndo naona zinanizuzua kabisaa.
Sikutegemea atiiii kama waeza anzisha uzi ukiulizia hii kitu.
Nilishawahi muona OKW BOBAN SUNZU naye alianzisha uzi kaa huu mwisho wa mwezi mmoja hivi nikabakiaga nacheka tu. 🤣🤣
😀😀😀 Hamna mbaya Mtani.Usikariri maisha mtani 🤣🤣
Wengine tunakopesha walimu