OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
kwanza vipi umeshatoka? π€£π€£π€£πππ Hamna mbaya Mtani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza vipi umeshatoka? π€£π€£π€£πππ Hamna mbaya Mtani.
We jamaa umenichekesha sana daah...hatari sana kwa kweli
Hahahaaaa. Utakuwa bado mana mie huwa nacheza karibu na nyuzi kama hizi Mtani kujua kinachoendelea.kwanza vipi umeshatoka? π€£π€£π€£
tayariHabari waungwana?vipi jamani salary ya august 2021 imetoka??
Wavaa vitenge hao,vipi wavaa kaki almaarufu wazee wa masikitiko hamjapata?
Dada upo sawa lakini wakati huu sio muafaka. Watu tunaulizana kwanza salio, likisomeka ndio ulete maombi yakonaomba kura zenu click link hii Story of Change - Ondoa hofu, anza sasa kuthubutu
Tareh 21 kitambo sana mpunga uliingia, na nilishachomoa laki hapo na kuila kitimoto na bia [emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
Watu wananjaa wee unaomba kuranaomba kura zenu click link hii Story of Change - Ondoa hofu, anza sasa kuthubutu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]Mkuu acha kurusha watu roho, unajua kuna wengi wanapita hapa kimya kimya ila wanasikilizia kilichoandikwa!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]pole jamani nami nina njaa tena sana ndo maana naomba kura mniwezeshe nitoke nipigie mkuu Story of Change - Ondoa hofu, anza sasa kuthubutu
Tunapita kimya kimya au siyo.Mkuu acha kurusha watu roho, unajua kuna wengi wanapita hapa kimya kimya ila wanasikilizia kilichoandikwa!
πππππ eti wavaa vitenge na kaki teheheh.Wavaa vitenge hao,vipi wavaa kaki almaarufu wazee wa masikitiko hamjapata?
Benki gani Mkuu..Tayari huku πππ
cc: Shadeeya, BILGERT, Mad Max, Lukataluko, ladyfurahia, kiboboso, NAKWEDE na wote mliogusa uzi huu
π€£π€£π€£ Affwwaaazzzaalliii. π€£π€£Tayari huku πππ
cc: Shadeeya, BILGERT, Mad Max, Lukataluko, ladyfurahia, kiboboso, NAKWEDE na wote mliogusa uzi huu
Cheki salio mzee,π[emoji36]
Ngoja nisubiri ka sms kaingie kwanza