Mshahara wa mwezi Agosti 2021

Mshahara wa mwezi Agosti 2021

Wakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
Kwahiyo mumeamua kuja kututisha tusio na mshahara sio.
Mungu anawaona.
 
Kunani? au ndiyo serikali imefilisika/halijojo maana mpaka jana hapakuwa na lolote bank.
Kunakwa PSSSF nako mwendo mdundo, uchumi wa kati vipi mama Samia?
 
Subiri kwanza tulipane padiemu ya Zambia maana wenyewe bado hatujalipana
 
Mshahara unalipwa kwa kufuata kalenda, unaweza kulipwa mshahara kati ya tarehe 1 hadi 30 ama 31 ya mwezi husika hivyo kwa kua mwezi wa 8 bado haujaisha hakuna sababu ya kulalamika.

Ikifika tarehe 1 septemba bado mshahara wa agosti haujatoka hapo hilo ni jambo lingine ila kwa sasa bado hakuna sababu ya kulalamika.
 
Wenye mshahara mna raha.
Mkuu hamna lolote aisee eti ni raha, awapi labda uwe na kitenga uchumi ila mi naona sisi walipwa mshahara na wafanya biashara ni bora mfanya biashara [emoji25][emoji25]
 
Mkuu hamna lolote aisee eti ni raha, awapi labda uwe na kitenga uchumi ila mi naona sisi walipwa mshahara na wafanya biashara ni bora mfanya biashara [emoji25][emoji25]
Ci munakuwa na mauwakika mkuu..sisi wafanya mbishe leo unapata kesho unakosa
 
Back
Top Bottom