Mshahara wa mwezi Agosti 2021

kwanza vipi umeshatoka? 🀣🀣🀣
Hahahaaaa. Utakuwa bado mana mie huwa nacheza karibu na nyuzi kama hizi Mtani kujua kinachoendelea.

Mia kubwa atii (NMB Mobile makato).

Tuzidi kuvuta subira ukitoka watasema tu. 🀣🀣
 
Tayariiiii umeshasoma katoe ulipe madeni tena uaze kusubiri mwezi wa 9
 
Wakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
Tareh 21 kitambo sana mpunga uliingia, na nilishachomoa laki hapo na kuila kitimoto na bia [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu acha kurusha watu roho, unajua kuna wengi wanapita hapa kimya kimya ila wanasikilizia kilichoandikwa!
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28]
 
Wavaa vitenge hao,vipi wavaa kaki almaarufu wazee wa masikitiko hamjapata?
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ˜‚ eti wavaa vitenge na kaki teheheh.

Mimi nyuzi kama hizi napita nasoma tuu nafurahi kweli namna ambavyo tunaenjoy na matatizo yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…