Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
NMB bado nimecheki saa tisa ilikuwa badoHuo
Huo
Ukata ushaondoka.
Raha siku 5 dhiki siku 25.
Mpka kesho mkuu πNMB bado nimecheki saa tisa ilikuwa bado
crdb benki ya mkulima leo tumewapiga bao walimu na manesi.NMB bado nimecheki saa tisa ilikuwa bado
Kwahiyo mumeamua kuja kututisha tusio na mshahara sio.Wakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
Mkuu meseji imeingia tangu saa 7 mchanaWakuu tushtuane kale ka meseji kakiingia au mkiona msongamano usio wa kawaida kwenye ATM. Wasiohusika kaeni pembeni
Mwezi huu umelipwa mapema,naona hujalalamika.Tayari huku πππ
cc: Shadeeya, BILGERT, Mad Max, Lukataluko, ladyfurahia, kiboboso, NAKWEDE na wote mliogusa uzi huu
Mkuu hamna lolote aisee eti ni raha, awapi labda uwe na kitenga uchumi ila mi naona sisi walipwa mshahara na wafanya biashara ni bora mfanya biashara [emoji25][emoji25]Wenye mshahara mna raha.
Ci munakuwa na mauwakika mkuu..sisi wafanya mbishe leo unapata kesho unakosaMkuu hamna lolote aisee eti ni raha, awapi labda uwe na kitenga uchumi ila mi naona sisi walipwa mshahara na wafanya biashara ni bora mfanya biashara [emoji25][emoji25]
Dah! Maisha nichangamoto sana unaweza pata mshahara mwisho wa mwezi alafu mda huo matatizo chungu nzima.Ci munakuwa na mauwakika mkuu..sisi wafanya mbishe leo unapata kesho unakosa