Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Teh! Teh! ukiona manyoya....Yaani hata huko kwenye bandari,naanza kuyaamini maneno ya wakosoaji,itakuwa imeuzwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh! Teh! ukiona manyoya....Yaani hata huko kwenye bandari,naanza kuyaamini maneno ya wakosoaji,itakuwa imeuzwa kweli
Elimu ya juuIdara gani
Jua kaliwa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Teh! Teh! ukiona manyoya....
Unamngoja nani akueleze hayo ? Huo ndio uhalisia... Ogopa sana Hawa watu... Akikuambia 1 na 1 ni 2 ujue inaweza ikawa 11.... Chezea uzao wa kijani ??? Nani aliwahi kumwona green mamba kirahisi kwenye mwembe ?????Sidhani kama tutaweza kufika huko,
Kwahiyo Foleni Zisizo Na NyongezaTayari nmb Nothing new
Nikiangalia huu mfuuko wa bei nawaza sana