Tetesi: Mshahara wa mwezi huu July 2023, tutarajie makubwa!

Tetesi: Mshahara wa mwezi huu July 2023, tutarajie makubwa!

Nenda kachomeke kadi au vuta Kwa mobile transfer. Ueiteseke na fedha IPO inasubiri maamuzi Yako!
Hapana, kuangalia balance kwa kutumia app ni bure! Hata sasa nimeangalia bilabila
 
Kumbe umeona sms kwa mdingi wako?
Kwani sms ya mshahara inakuwa na title kuwa huu ni mshahara?
Vipi kama ni pesa kaipokea kutoka sehemu nyingine ambayo si mshahara...?
Hebu tumia akili kidogo, halafu inaonekana upo upo tu hauna nyuma wala mbele bado unaishi kwa wazazi na kuwategemea wakupe vocha!!!
mkuu huyo unae mdiss ni public servant tena taasis nzuri tuu
 
Mungu wangu nilikuwa nabisha nimeangalia sms hakuna hata cent moja iliyoongezwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila maza anazingua siku hizi kuthibitisha muamala. Magufuli ilikuwa ikifika tarehe 22 tu lazima abonyeze kitufe cha "Enter" mitonyo inaanza kusoma benki japokuwa hakukuwa na nyongeza. Hapo hhaijalishi ni sikukuu au week end. Kuna mwaka mmoja aliingiza saa kumi na moja alfajiri jumapili. Ile sms ilinipa nguvu hata ya kwenda kanisani
Jf Raha sana
 
Mungu wangu nilikuwa nabisha nimeangalia sms hakuna hata cent moja iliyoongezwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ya kweli haya?
 
Back
Top Bottom