Nenda kachomeke kadi au vuta Kwa mobile transfer. Ueiteseke na fedha IPO inasubiri maamuzi Yako!Acha tusubiri, ila nadhani haitazidi monday kitaeleweka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kachomeke kadi au vuta Kwa mobile transfer. Ueiteseke na fedha IPO inasubiri maamuzi Yako!Acha tusubiri, ila nadhani haitazidi monday kitaeleweka
Huyu mama hakuna siku nitakuja kumuaminiHuenda akaongeza miezi ijayo labda. Utulivu muhimu
Labda wamekushau mkuu 🤭Bado hatujaona mkuu
mkuu huyo unae mdiss ni public servant tena taasis nzuri tuuKumbe umeona sms kwa mdingi wako?
Kwani sms ya mshahara inakuwa na title kuwa huu ni mshahara?
Vipi kama ni pesa kaipokea kutoka sehemu nyingine ambayo si mshahara...?
Hebu tumia akili kidogo, halafu inaonekana upo upo tu hauna nyuma wala mbele bado unaishi kwa wazazi na kuwategemea wakupe vocha!!!
Asante nimeshaona mkuuAcha kukariri,salary tayar
Jf Raha sanaIla maza anazingua siku hizi kuthibitisha muamala. Magufuli ilikuwa ikifika tarehe 22 tu lazima abonyeze kitufe cha "Enter" mitonyo inaanza kusoma benki japokuwa hakukuwa na nyongeza. Hapo hhaijalishi ni sikukuu au week end. Kuna mwaka mmoja aliingiza saa kumi na moja alfajiri jumapili. Ile sms ilinipa nguvu hata ya kwenda kanisani
Idara ganiNMB tayari kitambo
Tayati mkuu mimi imeingia muda huu huuIdara gani
We ni mwalimu?Tayati mkuu mimi imeingia muda huu huu
Jana saa 11 jioni sms iliingiaHivi ni kweli imetoka?
OK, ila mara nyingi wanajeshi ndio hupata siku moja kabla.Jana saa 11 jioni sms iliingia
Hana tofauti na PM Ohoooo mnataka aje Magomeni au K'koo ili iweje? Rip MaguHuyu mama hakuna siku nitakuja kumuamini
Ya kweli haya?Mungu wangu nilikuwa nabisha nimeangalia sms hakuna hata cent moja iliyoongezwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HaaaaaaaaaaaaaaaaaDuh, mimi nikawa nimeandaa kasandarusi kangu kumbe ndo hivyo tena?