Mshahara wa Oktoba bado tu?

Mshahara wa Oktoba bado tu?

Nchi hii ilivyo na watu wa ajabu si ajabu wapo wanaotazamia ongezeko la mshahara mwezi huu au mwezi ujao.
Hakuna ongezeko la mshahara mwaka huu .
 
Laki 5 Take Home. Il kila Mwezi, Kabla sijaipokea Madeni yanakuwa kibao. Hata hapa nadaiwa kama Laki 2 hivi[emoji134] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
UTAJIJA NYIE NDO MNADANDIAGA MALORI NA MAKOFIA YENU NA MATISHT YA SHIGONGO KWENDA KUPIGA KURA SHAURI ZAKO.............. KAKOPE SERIKALI ZA MITAA NI CCM WENZIO
 
UTAJIJA NYIE NDO MNADANDIAGA MALORI NA MAKOFIA YENU NA MATISHT YA SHIGONGO KWENDA KUPIGA KURA SHAURI ZAKO.............. KAKOPE SERIKALI ZA MITAA NI CCM WENZIO
[emoji15] [emoji134] [emoji24] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119]
 
Mimi nimeacha kuchangia ndoa
Labda mtu anaumwa na nathibitisha kuwa kweli anadaiwa na Hospital

Lazma tujifunze kuwa na nidham ktk bajeti
Mfano, unaweza kuwa na take home ya laki 5 na unaweza kujenga Nyumba kwa hatua kwa kutumia mkopo

...laki 2 mkopo benki
...laki 1.5 matumz ya familia kama ipo
...laki 1 nauli
...elfu 50 amana ya dharura kila mwezi

Full stop
Kila mwezi

NB: Jitoe kwenye vyama vya Wafanyakazi

Achana kuchangia Mambo yasiyo na tija
Mkuu safi sana...lazima kuwe na nidham kwenye Fedha
 
Signatory wa tatu kwenye mishahara ajasaini bado yupo Ikulu kwenye kalamu ya kuwatunuku vyeti wajumbe wa kamati ya makinikia kwa hiyo mvute subira watumishi [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Signatory wa tatu kwenye mishahara ajasaini bado yupo Ikulu kwenye kalamu ya kuwatunuku vyeti wajumbe wa kamati ya makinikia kwa hiyo mvute subira watumishi [emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani leo maofisini watu wamenunaaa
 
Back
Top Bottom