Mbona umeshamjibu, au hayo yalikuwa maelekezo
Hujui kusoma au??Kwani wewe umeonaje?
Hujui kusoma au??
That was a rhetoric questions, haikuhitaji wewe kujibu ila kuelewa tu..
Ajiandae nini mkuu, kwani hapo kamtaja mkuu kaweka mshahara wa jk tu na siyo wa mkuu wetuJiandae
Hahahahaa...saa zingine jf raha sana.Hapo umeandika nini!? Wewe nawe ni walewale!
safi sanathey call him "the no-nonsense president"
hahaaahaaa!
kilaza ww usiejua hata maana ya no nonesense. ujinga wenu pelekeni badoo facebook na kwa mange huko. humu watu wanajielewa.
Lkn hpo ameandikwa Kikwete mkuu, yeye kasema amejipunguza mashahara, ila kikubwa ambcho angefanya ni kutuwekea pay stubs zake tu..
Amesema yeye, cyo mimi mkuu, usije ukanimeza bure make mi naye nataka kupata ukweli through s.slipLini imetangazwa mshahara wa Rais na marupurupu yake umepunguzwa kutoka kiasi fulani hadi kiasi fulani!? Salary slip aliahidi kuiweka hadharani April 2016 miezi 18 sasa bado anaificha.
Wakimrudisha tunawambie kiendacho kwa Mshana Jr hakirudi.BASI WAJE KUMCHUKUA AENDE KWAO WATUPE UHURU KAMA HAWAJAMRUDISHA NA MATATUU KESHO KUTWA
Ndio maana anataka wachapakazi wasiojua hata kusoma Akama bombardier zinanunuliwa kimya kimya, madiwani na wabunge wanahongwa, pesa za miradi mbali mbali kulipwa moja kwa moja na executive, nk nk - kipi kitamzuia mtu kujilipa TSHS 100M na bado akadai anapata 9M??
wanaoweza kuamini upuuzi huu ni misukule tu!!
Hakili=Akili.Hakili za kuambiwa hizo changanya na zako
Amesema yeye, cyo mimi mkuu, usije ukanimeza bure make mi naye nataka kupata ukweli through s.slip