Mshahara wa Rais Magufuli wawa gumzo Kenya

Mshahara wa Rais Magufuli wawa gumzo Kenya

Hivi mshahara wa rais unatipia benki gani
 
kilaza ww usiejua hata maana ya no nonesense. ujinga wenu pelekeni badoo facebook na kwa mange huko. humu watu wanajielewa.

We jamaa umenifanya nicheke tu, yani umetumia nguvu nyingi kuelewesha watu walioshindwa kuelewa maana ya hilo neno la kiingereza adi ukafanya citation kwenye dictionary, wenzio wala hawajapinga na ulifanya vizuri,

Wewe sasa ukakosea na watu kujaribu kukusahihisha imekua shida umegoma kukubali kuwa umekosea hahaha, picha niliyopata hapa kwa kua ww umerekebisha makosa ya Kiingereza basi wewe ni genius ila wale waliokurekebisha Kiswahili hawana maana

Tuache utumwa!!!
 
Lini imetangazwa mshahara wa Rais na marupurupu yake umepunguzwa kutoka kiasi fulani hadi kiasi fulani!? Salary slip aliahidi kuiweka hadharani April 2016 miezi 18 sasa bado anaificha.


Lkn hpo ameandikwa Kikwete mkuu, yeye kasema amejipunguza mashahara, ila kikubwa ambcho angefanya ni kutuwekea pay stubs zake tu..
 
Lini imetangazwa mshahara wa Rais na marupurupu yake umepunguzwa kutoka kiasi fulani hadi kiasi fulani!? Salary slip aliahidi kuiweka hadharani April 2016 miezi 18 sasa bado anaificha.
Amesema yeye, cyo mimi mkuu, usije ukanimeza bure make mi naye nataka kupata ukweli through s.slip
 
Mshahara wa rais wa jmt ni m. 35 kwa mwezi, ila kuna wakurugenzi wanaojilipa m.40, sjajua kama kweli zilishushwa, ila mshahara wa rais haupunguzwi ila unaongezeka tu.

Lakn hata kama anajilipa m.100 tunataka kaz ifanyke na watumish wengne walipwe vzuri.

Itakuwa si busara mshahara wa juu kuwa m.40 huku wa chn laki 3, hakuna uwiano.

Mshahara wa chn uwe m. 1, na wa juu uwe m. 15
 
kama bombardier zinanunuliwa kimya kimya, madiwani na wabunge wanahongwa, pesa za miradi mbali mbali kulipwa moja kwa moja na executive, nk nk - kipi kitamzuia mtu kujilipa TSHS 100M na bado akadai anapata 9M??

wanaoweza kuamini upuuzi huu ni misukule tu!!
Ndio maana anataka wachapakazi wasiojua hata kusoma A
 
Kule watampigia kura ya kuwa kigeugeu Wa kwanza ulimwenguni hakiamungu
 
Ndiyo nimesema huyo ni muongo aliyekithiri. Alipoingia kilo ya sukari haikuwa shilingi 5,000, Bashite hajamkamata yeyote mwenye madawa, hakuna Mtanzania muajiriwa Serikali aliyekuwa analipwa 40 million hizi ni kauli za uongo

Amesema yeye, cyo mimi mkuu, usije ukanimeza bure make mi naye nataka kupata ukweli through s.slip
 
Wakenya hata msiumize kichwa. Huyu jamaa ni muongo tumesha mzoea. Usishangae kesho aje aseme Rais hapokei mshahara.
 
Back
Top Bottom