Mshahara wa Rais Magufuli wawa gumzo Kenya

Source yako ni nini??
Yaonyesha unakubali kubali vitu vingi sana kwenye mitandao kama vya ukweli!!
 

Unabisha halafu huna cha kuonyesha kama ni uongo.. unatuwekea jina la wa awamu iliyopita.. duh!!!!

Jisikitikie
 
kenya acheni kutufuata mtaumia sisi tunaigiza ili tuonekane nchi yetu ina demokrasia ili hali si hivyo..ohooo
 
Hivi lini ulisikia tamko la kupunguzwa mshahara wa Rais wa awamu hii!? Kama ulisikia hebu liweke hapa.

Unabisha halafu huna cha kuonyesha kama ni uongo.. unatuwekea jina la wa awamu iliyopita.. duh!!!!

Jisikitikie
 
Aliahidi kuweka salary slip yake hadharani kipi kinamshinda kuthibitisha kauli yake kwamba mshahara wake ni 9.5 million? Nilipoingia kilo
ya sukari ilikuwa 5,000! Na wewe bado huyu muongo wa kupindukia unamuamini!

Source yako ni nini??
Yaonyesha unakubali kubali vitu vingi sana kwenye mitandao kama vya ukweli!!
 
wabongo mwaka huu mtabweka sana kawaida yenu wapinzani kulialia miaka yote na sasaivi mmeshikwa pabaya mkijichanganya tuu.. mnakula kibano cha hatari unataka salary slip ya nn leta salary slip ya mbowe na tunataka na risiti ya efd ya mliyouza chama chenu cha cdm kwa lowassa na risiti za mlio uza madiwani arusha
 
Ni maajabu makubwa kwamba kuna watu wenye kuchangia mada kama hizi humu na hawafahamu maana ya neno "no-nonsense". Maajabu makubwa kabisa.
 
Ni maajabu makubwa kwamba kuna watu wenye kuchangia mada kama hizi humu na hawafahamu maana ya neno "no-nonsense". Maajabu makubwa kabisa.
mi mwenyewe nimeshangaa sana.
 
kenya acheni kutufuata mtaumia sisi tunaigiza ili tuonekane nchi yetu ina demokrasia ili hali si hivyo..ohooo
Sasa nyie mnajibizana,kushindana na kupimana nguvu hivi na majirani wengine hapa JF mfano Malawi ,waZambia ,Uganda,Rwanda au DRC vile mnafanyia waKenya?
 
Yaani JPM na huo udikteta wake wote anapata mshahara sawa na diwani Kenya? Najaribu kuteremsha hata na sharubati lakini wapi bado ngumu kumesa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…