Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,583
Kwanza kabisa hongera kwa Rais Magufuli kwa kuanzisha uwazi huu.
Baada ya hongera hiyo nina machache.
Kuzungumzia sana mshahara wa mtu anayeweza kupiga simu Benki Kuu na kuagiza apewe mabilioni ya fedha kwa kazi za siri za "Uslama wa Taifa", na akapewa, bila kuzingatia bajeti, ni kutojua jambo la muhimu kabisa liko wapi.
Jambo la muhimu kabisa simshahara anaolipwa rais, that is peanuts.
Jambo la muhimu ni nguvu za uMungu-Mtu alizopewa rais ambazo zinaweza kutumiwa vibaya kupiga hela ndefu sana kiasi huo mshahara ukaonekana ni vijisenti vya vijisenti.
Baada ya hongera hiyo nina machache.
Kuzungumzia sana mshahara wa mtu anayeweza kupiga simu Benki Kuu na kuagiza apewe mabilioni ya fedha kwa kazi za siri za "Uslama wa Taifa", na akapewa, bila kuzingatia bajeti, ni kutojua jambo la muhimu kabisa liko wapi.
Jambo la muhimu kabisa simshahara anaolipwa rais, that is peanuts.
Jambo la muhimu ni nguvu za uMungu-Mtu alizopewa rais ambazo zinaweza kutumiwa vibaya kupiga hela ndefu sana kiasi huo mshahara ukaonekana ni vijisenti vya vijisenti.