Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Ukute Mama yako na Baba yako wanamchukia
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahahahahah Sio kila kitu mpaka u comment, kama vitu vingine hauvijui kuwa msomaji tu £ 600 ml per week unaijua vizuri kweli.
Nawe kama hujui kuwa tu msomaji. Akili yako inashindwa kupambanua mambo ya utani?
 
Hapa kazi tu,, endeleeni kufuatilia maisha ya wenzenu ilihali nyinyi mmepauka mifukoni ,fulishiiiiijijjjjjj
 

Watu wote hawawezi kulingana hilo halimwondolei heshima mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…