Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Mleta post ni choko yaani Tena choko haswaaa kila mmoja ananufaika kwa upande aliopo hatuko hapa kuleta ushindani mambo ya Diamond kuleta huku Kama alikugonga ni umama Tena fala kabisa
 
Iwe isiwe maisha ameshatoboa. Juu ya tax hizo kuna council tax. Hiyo ni makato ya nyumba unalipa either kwa mwezi au kwa mwaka. Unacholipa inategemea na sehemu unayoishi. Area ikiwa nzuri ushuani tax inakuwa kubwa. Na haikwepeki
 
*Mshahara wa Samatta
[emoji383] Mwaka - £2.6m (Tsh Bil 8)
[emoji383] Kwa Mwezi - £ 204,000 (Tsh Mil 610
[emoji383] Kwa wiki - £51,000 (Tsh Mil 153)
[emoji383] Kwa siku - £7285 (Tsh Mil 21)*
Ht km Ni kwl Sasa kumringanisha p. Didy Na Christian Ronaldo Au Messi uzur wa usanii njee ya show anazo fanya anauza music kwenye plattform mbali mbali ambazo zina muingizia hela nyingi pamoja Na matangazo Kwahiyo Mm cio km kuna fact Na huwez kusikia Messi Au Ronaldo kampita utajir Jay Z

Sent using Jamii Forums mobile app
 
P didy ana miaka karibia 50 that means wakati ana miaka 30 alikuwa tayari bilionea wakati ronaldo alikuwa mtoto mdogo tu so ronaldo anampitaje mkwanja?
 
sayoo,

Hacha kuwa na Roho ya kimasikini ni mstari ulinivutia sana,Masikini na umasikini wake uwa wanaishia kutumia muda mrefu kijadili wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…