Heisenberg blue meth
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,310
- 1,633
wewe ndio mwehu, in a maana umeshindwa kujiongeza hapo kugawanya kwa 4? inamaana wanavyosema mchezaji anaingiza kiasi flani kwa mwaka unaelewaje? ww ni kenge kweli
Babu Tiffa unamjua,aaah aaah,Baba Mondi unamjuaKinachonifurahisha kwa Samatta ni jinsi anavyoishi vizuri na baba yake tofauti kabisa na baba Tiffah aka baba Nilan aka baba Abdul
π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£ π€£mbavu zangu kuBaada ya kupost mleta mada akamzaba kibao mdogo wake akimlalamikia kwanini kamaliza kiporo chote cha wali.
Maisha haya.
Katania tu huyo, mleta mada inaonekana kaandika kishabiki hana data. Mbaya Zaidi mpira vs sokaHahahahahahahahah Sio kila kitu mpaka u comment, kama vitu vingine hauvijui kuwa msomaji tu Β£ 600 ml per week unaijua vizuri kweli.
Acha kupaniki jombaaaa. Komaaa kivyakoo hizo tantalila za niniii humuuu.Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Wewe ni mkubwa kwenye familia yako usha-introduce hata msosi mpya zaidi ya ugari na kunde kilasiku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuoneshe na wewe kitu gani kipya umekifanya kwenye maisha yako?Diamond patnumz naweza sema ndiye msanii mkubwa Tanzania lakini nashangaa kwa nini huwa hana creativity ya kuintroduce kitu kipya kwenye mziki wetu wa bongo fleva yeye ni kucopy tu hadi dance styles.
Jikite kwenye mada.View attachment 1333786
ππ cheki kwanza huo mlango
OhooView attachment 1333786
ππ cheki kwanza huo mlango
Sasa hii inamaana gani.View attachment 1333786
[emoji3][emoji3] cheki kwanza huo mlango
Kaaaaaaaang!Wewe ni mkubwa kwenye familia yako usha-introduce hata msosi mpya zaidi ya ugari na kunde kilasiku.
Sent using Jamii Forums mobile app