Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond


wabongo acheni ushamba mishahara ya wachezaji wa ligi kuu ya uingereza ipo wazi.
samata anaweza kuwa anakula Pound 5,000 au chini ya hapo kwa week, haitapita week data za mshahara wake zitawekwa wazi
 
Baada ya kupost mleta mada akamzaba kibao mdogo wake akimlalamikia kwanini kamaliza kiporo chote cha wali.

Maisha haya.
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣mbavu zangu ku
ma
ma
ke
 
Acha kupaniki jombaaaa. Komaaa kivyakoo hizo tantalila za niniii humuuu.
 
Diamond patnumz naweza sema ndiye msanii mkubwa Tanzania lakini nashangaa kwa nini huwa hana creativity ya kuintroduce kitu kipya kwenye mziki wetu wa bongo fleva yeye ni kucopy tu hadi dance styles.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…