Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Mshahara wa Samatta kwa wiki ni sawa na show 10 za msanii wenu Diamond

Hv ni nyimbo gani aliyoicopy coz naona mlibebea bango sana hili swala pia fahamu sometime idea zinaweza fanana tu na sio kucopy
Vp unataka niambia Wiz kid amecopy ile joro kwa John makin Mchele or mnamuona mond tu ndo anakopi...?

Punguzeni chuki thamini vya kwenu
 
Diamond patnumz naweza sema ndiye msanii mkubwa Tanzania lakini nashangaa kwa nini huwa hana creativity ya kuintroduce kitu kipya kwenye mziki wetu wa bongo fleva yeye ni kucopy tu hadi dance styles.
kwa nn usingekuwa producer. ..?
naona unakitu kipya kwenye mziki
 
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
NI MARA NGAPI KWA MSHAHARA WAKO WEWE !!
 
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Hizi chuki bro,zitakutoa roho?!unauliza Mond kafanya nini?
Unajua watu wangapi wamepata ajira pale WCB?je na wao wanategemea na wangapi!?
Mtu ana ukwasi wa bilioni 23+unasema amefanya nini?
Kapimwe akili bro!!Kuna kampuni moja mkandarasi wa Tigo,nilikuwa nafanya kazi,mapato yake na thamani ya kampuni ni haifiki milioni 800!!na kampuni imeajiri watu 80!wanalipwa 600K mpaka 5M!!pesa ya mshahara kwa wafanyakazi kwa mwezi ni kama 50M!!Diamond aliwahi kufanya Birthday ya Binti yake kwa 50M kwa siku!!sasa inakuwaje unasema huyu mtu Hana lolote!!hebu weka hapa ukwasi wako tuone,tuache chuki za kipuuzi.
Maskini huwa ni wachawi sana,Bila shaka Kuna watu pale Tandale wanatamani Mond afilisike,ili wote wawe level moja ya kapuku!!!badala ya kumtumia kijana wao kutoka,wanamuombea mabaya
 
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii

Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..


90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Kwahiyo, unataka Mondi akacheze mpira? HAYA, NA WEWE UMEMPITA MONDI MARA NGAPI KIFEDHA?
 
Back
Top Bottom