Mshahara wangu ni laki 3 kwa mwezi, nitumie shilingi ngapi kwa siku ili unitosheleze?

Mshahara wangu ni laki 3 kwa mwezi, nitumie shilingi ngapi kwa siku ili unitosheleze?

duh hatari....sasa kweli mshahara laki 3, ukiwa na familia sii majanga. mwishowe nimeona kwa nini dada zetu inabidi wauze mbususu inderectly
We acha tu mzee wangu, kuna watu wana maumivu n bc tuu
 
Kama ungekuwa unakaa kaburini yaani ushakufa hiyo hela ingetosha lakini upo hai na una pumua hiyo hela ni kupalilia utumwa, yeyote anaekushauri kudunduliza hiyo 300k ati utoboe kwa mwezi ni upuuzi mtupu anataka uwe maskini kwanza ubongo utakufa kabisaaa kama unahitaji kutoka ni bora urudi kijijini ukaanzie zero kwenye shughuli za kujitegemea.
Your so brave my brother…

300k ni lawama tupu
 
Ni pesa mingi kabisa hiyo ila nimeona wengi hapa hawajawahi kuishi kwa mshahara huo ndio maana wanakupa figire za kufikirika usizoweza kuishi.
Ukiifata screenshot ya jamaa hapo juu utaishia kua na madeni tu, mwanaume unakuaje na pocket money ya 10k vocha, kuhonga, maji, dharula za hapa na pale utatatua vipi..
Kwanza kabisa set vipaumbele kwamba mwezi huu nalipa kodi/nanunua kitanda/nanunua feni au mazaga flani. Pesa inayobaki unafanyia matumizi mengine ikiwemo na msosi.
Piga bajeti ya kutumia 200k au pungufu ya hapo, inayobaki 50k save na 50k pocket money.

Kwa hii mishahara kodi unaisotea mwezi wa mwisho, usimuwekee hizo 40k kila mwezi mwenye nyumba utateseka sana.


Iko hivi..
Kwa mshahara wa namna hiyo huwezi kufanya mambo yote kwa wakati mmoja, huwezi nunua hayo makitu yote kwa wakati mmoja, utafeli mapema sana.
Mishahara midogo mingi huishia kwenye msosi, ukiweza kujibana hapa umewini. Kama gesi ipo ndani nunua mchele kg hata 10 na unga kg 5.
Mafuta hata lita 1 na dagaa za kutosha utajipimia. Mpaka hapa msosi ushaua.

Mambo ya nyanya sijui vitunguu, carrit hizo ni anasa achana nazo kwanza.

Mpaka unafika miezi 4 geto utajikuta geto limekamilika kwa vitu vingi. Hapo sasa utasave pakubwa na utazingatia mlo kamili kama binadamu wa kawaida.
Nyanya ni anasa?
So wala dagaa wa kuchemsha au?
Huo upuuzi acjaribu kufanya, zen its better ukaelewa mleta mada n mwajiriwa, asipokula nutrient za kueleweka si ataharibu kazi za watu….

Kula must be rule number 1, number 2 and number 3
 
Jitahidi uwe unafunga, kula jioni tu.
Muda wako wa ziada jitahidi kutafuta kitu kingine cha kukuingizia kipato. Tafuta hata watoto wa majirani uwe unawapiga pindi. Anza kujibana na kufanya saving ili ufungue kiofisi cha kuku-boost
Yan nilipwe 300k zen niwe nakula mara 1 kwa siku? Heeeeh
 
Njoo tubet mkuu kama umeshalipwa hyo 300K,
Leo kuna Kengold v Dodoma
Dodoma win ana 2.9 tukizidisha na hyo 300K tunapata 800K baada ya Kodi then ukaanza kuishi kwenye 800K
 
Nyanya ni anasa?
So wala dagaa wa kuchemsha au?
Huo upuuzi acjaribu kufanya, zen its better ukaelewa mleta mada n mwajiriwa, asipokula nutrient za kueleweka si ataharibu kazi za watu….

Kula must be rule number 1, number 2 and number 3
Ushawahi kuishi kwa hicho kipato??

Kuna kipato ukiwa nacho kula vizuri sio kipaumbele ila kula kuishi.
 
Ni pesa mingi kabisa hiyo ila nimeona wengi hapa hawajawahi kuishi kwa mshahara huo ndio maana wanakupa figire za kufikirika usizoweza kuishi.
Ukiifata screenshot ya jamaa hapo juu utaishia kua na madeni tu, mwanaume unakuaje na pocket money ya 10k vocha, kuhonga, maji, dharula za hapa na pale utatatua vipi..
Kwanza kabisa set vipaumbele kwamba mwezi huu nalipa kodi/nanunua kitanda/nanunua feni au mazaga flani. Pesa inayobaki unafanyia matumizi mengine ikiwemo na msosi.
Piga bajeti ya kutumia 200k au pungufu ya hapo, inayobaki 50k save na 50k pocket money.

Kwa hii mishahara kodi unaisotea mwezi wa mwisho, usimuwekee hizo 40k kila mwezi mwenye nyumba utateseka sana.


Iko hivi..
Kwa mshahara wa namna hiyo huwezi kufanya mambo yote kwa wakati mmoja, huwezi nunua hayo makitu yote kwa wakati mmoja, utafeli mapema sana.
Mishahara midogo mingi huishia kwenye msosi, ukiweza kujibana hapa umewini. Kama gesi ipo ndani nunua mchele kg hata 10 na unga kg 5.
Mafuta hata lita 1 na dagaa za kutosha utajipimia. Mpaka hapa msosi ushaua.

Mambo ya nyanya sijui vitunguu, carrit hizo ni anasa achana nazo kwanza.

Mpaka unafika miezi 4 geto utajikuta geto limekamilika kwa vitu vingi. Hapo sasa utasave pakubwa na utazingatia mlo kamili kama binadamu wa kawaida.
Mleta mada ishi hapa, ukiweza kushinda eneo la mlo, umeshinda sehemu kubwa kufanya savings.
 
Pole sana inawezekana uliona laki 3 ni pesa nyingi Anza kubana matumizi acha kununua bando acha kununua mavitu ya kula kula njiani sijui karanga au mahindi pesa yako itumike kununua chakula tu na nyingine sevu
Ukiwa mtaani jua kali,hio ni pesa mingi sana

Ila ukishakua na kazi inaonekanika ni ndogo saaana
 
Back
Top Bottom