Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huo n muongozo tuu bado hesabu ynywaisee, watu mna mahesabu makali
duh hatari....sasa kweli mshahara laki 3, ukiwa na familia sii majanga. mwishowe nimeona kwa nini dada zetu inabidi wauze mbususu inderectlyNa huo n muongozo tuu bado hesabu ynyw
We acha tu mzee wangu, kuna watu wana maumivu n bc tuuduh hatari....sasa kweli mshahara laki 3, ukiwa na familia sii majanga. mwishowe nimeona kwa nini dada zetu inabidi wauze mbususu inderectly
kabisaWe acha tu mzee wangu, kuna watu wana maumivu n bc tuu
hapo ndugu hawajaibukaSamahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi.
Lakini pesa hii haikai kabisa, yaani hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shingapi kama pesa ya chakula.
Msaada please
Pia Soma: Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?
Samahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi.
Lakini pesa hii haikai kabisa, yaani hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shingapi kama pesa ya chakula.
Msaada please
Pia Soma: Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?
binti kiziwiAs you get older you will not understand how some people can afford life without a job,.when you can't even afford it with a Job..
Frank Abegnale Sr,
Your so brave my brother…Kama ungekuwa unakaa kaburini yaani ushakufa hiyo hela ingetosha lakini upo hai na una pumua hiyo hela ni kupalilia utumwa, yeyote anaekushauri kudunduliza hiyo 300k ati utoboe kwa mwezi ni upuuzi mtupu anataka uwe maskini kwanza ubongo utakufa kabisaaa kama unahitaji kutoka ni bora urudi kijijini ukaanzie zero kwenye shughuli za kujitegemea.
Nyanya ni anasa?Ni pesa mingi kabisa hiyo ila nimeona wengi hapa hawajawahi kuishi kwa mshahara huo ndio maana wanakupa figire za kufikirika usizoweza kuishi.
Ukiifata screenshot ya jamaa hapo juu utaishia kua na madeni tu, mwanaume unakuaje na pocket money ya 10k vocha, kuhonga, maji, dharula za hapa na pale utatatua vipi..
Kwanza kabisa set vipaumbele kwamba mwezi huu nalipa kodi/nanunua kitanda/nanunua feni au mazaga flani. Pesa inayobaki unafanyia matumizi mengine ikiwemo na msosi.
Piga bajeti ya kutumia 200k au pungufu ya hapo, inayobaki 50k save na 50k pocket money.
Kwa hii mishahara kodi unaisotea mwezi wa mwisho, usimuwekee hizo 40k kila mwezi mwenye nyumba utateseka sana.
Iko hivi..
Kwa mshahara wa namna hiyo huwezi kufanya mambo yote kwa wakati mmoja, huwezi nunua hayo makitu yote kwa wakati mmoja, utafeli mapema sana.
Mishahara midogo mingi huishia kwenye msosi, ukiweza kujibana hapa umewini. Kama gesi ipo ndani nunua mchele kg hata 10 na unga kg 5.
Mafuta hata lita 1 na dagaa za kutosha utajipimia. Mpaka hapa msosi ushaua.
Mambo ya nyanya sijui vitunguu, carrit hizo ni anasa achana nazo kwanza.
Mpaka unafika miezi 4 geto utajikuta geto limekamilika kwa vitu vingi. Hapo sasa utasave pakubwa na utazingatia mlo kamili kama binadamu wa kawaida.
Yan nilipwe 300k zen niwe nakula mara 1 kwa siku? HeeeehJitahidi uwe unafunga, kula jioni tu.
Muda wako wa ziada jitahidi kutafuta kitu kingine cha kukuingizia kipato. Tafuta hata watoto wa majirani uwe unawapiga pindi. Anza kujibana na kufanya saving ili ufungue kiofisi cha kuku-boost
Labda km n mwiziMkuu laki na nusu it means kwa mwezi amna amna lazima milioni 3 ibaki
Ushawahi kuishi kwa hicho kipato??Nyanya ni anasa?
So wala dagaa wa kuchemsha au?
Huo upuuzi acjaribu kufanya, zen its better ukaelewa mleta mada n mwajiriwa, asipokula nutrient za kueleweka si ataharibu kazi za watu….
Kula must be rule number 1, number 2 and number 3
Mleta mada ishi hapa, ukiweza kushinda eneo la mlo, umeshinda sehemu kubwa kufanya savings.Ni pesa mingi kabisa hiyo ila nimeona wengi hapa hawajawahi kuishi kwa mshahara huo ndio maana wanakupa figire za kufikirika usizoweza kuishi.
Ukiifata screenshot ya jamaa hapo juu utaishia kua na madeni tu, mwanaume unakuaje na pocket money ya 10k vocha, kuhonga, maji, dharula za hapa na pale utatatua vipi..
Kwanza kabisa set vipaumbele kwamba mwezi huu nalipa kodi/nanunua kitanda/nanunua feni au mazaga flani. Pesa inayobaki unafanyia matumizi mengine ikiwemo na msosi.
Piga bajeti ya kutumia 200k au pungufu ya hapo, inayobaki 50k save na 50k pocket money.
Kwa hii mishahara kodi unaisotea mwezi wa mwisho, usimuwekee hizo 40k kila mwezi mwenye nyumba utateseka sana.
Iko hivi..
Kwa mshahara wa namna hiyo huwezi kufanya mambo yote kwa wakati mmoja, huwezi nunua hayo makitu yote kwa wakati mmoja, utafeli mapema sana.
Mishahara midogo mingi huishia kwenye msosi, ukiweza kujibana hapa umewini. Kama gesi ipo ndani nunua mchele kg hata 10 na unga kg 5.
Mafuta hata lita 1 na dagaa za kutosha utajipimia. Mpaka hapa msosi ushaua.
Mambo ya nyanya sijui vitunguu, carrit hizo ni anasa achana nazo kwanza.
Mpaka unafika miezi 4 geto utajikuta geto limekamilika kwa vitu vingi. Hapo sasa utasave pakubwa na utazingatia mlo kamili kama binadamu wa kawaida.
politics observer haamini hilo, anasema azagamue misosi tu.Mleta mada ishu hapa, ukiweza kushinda eneo la mlo, umeshinda sehemu kubwa kufanya savings.
Ukiwa mtaani jua kali,hio ni pesa mingi sanaPole sana inawezekana uliona laki 3 ni pesa nyingi Anza kubana matumizi acha kununua bando acha kununua mavitu ya kula kula njiani sijui karanga au mahindi pesa yako itumike kununua chakula tu na nyingine sevu