Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mihogo ya buku mida ya saa 6 halafu dinner Saa 3. Siku imeisha hyHana haja ya kula mara tatu, breakfast na dinner ya mapema inatosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mihogo ya buku mida ya saa 6 halafu dinner Saa 3. Siku imeisha hyHana haja ya kula mara tatu, breakfast na dinner ya mapema inatosha
Unaweza ukabana ivyooh alafu ikawa inapotea tuuhPole sana inawezekana uliona laki 3 ni pesa nyingi Anza kubana matumizi acha kununua bando acha kununua mavitu ya kula kula njiani sijui karanga au mahindi pesa yako itumike kununua chakula tu na nyingine sevu
Inategemea na aina ya breakfast. Kama ni hiyo ya 1000 maana yake kikombe cha chai kimoja na mihogo vipande viwili. Hapo lazima mchana ale.Hana haja ya kula mara tatu, breakfast na dinner ya mapema inatosha
Umeongea kikubwa sana mtani...unajua una akili sana sema tuu uko utopolo... 😆 😆 😆Tangu lini mshahara ukatosha? Wewe hakikisha tu mahitaji yako yote muhimu yanapatikana ndani ya mwezi. Imagine kuna wenzako wanalipwa mara 10 ya huo mshahara wako, na bado na wenyewe wanalalamika hautoshi!
Nina matumizi mabaya tu.. Itanibidi nianze kujibana zaidi ili nifanikishe hilo!!!Mkuu laki na nusu it means kwa mwezi amna amna lazima milioni 3 ibaki
Tumia 3500Pole sana inawezekana uliona laki 3 ni pesa nyingi Anza kubana matumizi acha kununua bando acha kununua mavitu ya kula kula njiani sijui karanga au mahindi pesa yako itumike kununua chakula tu na nyingine sevu
Ni kweli mkuu kadri kipato kinavyoongezeka na lifestyle inabadilika....Saving ni maarifa mkuu.
Kama hunayo utatapanya pesa sana.
Wapo wanaolamba zaidi 3M per month ila bado anaona hela haimtoshi.
well said brotherNi pesa mingi kabisa hiyo ila nimeona wengi hapa hawajawahi kuishi kwa mshahara huo ndio maana wanakupa figire za kufikirika usizoweza kuishi.
Ukiifata screenshot ya jamaa hapo juu utaishia kua na madeni tu, mwanaume unakuaje na pocket money ya 10k vocha, kuhonga, maji, dharula za hapa na pale utatatua vipi..
Kwanza kabisa set vipaumbele kwamba mwezi huu nalipa kodi/nanunua kitanda/nanunua feni au mazaga flani. Pesa inayobaki unafanyia matumizi mengine ikiwemo na msosi.
Piga bajeti ya kutumia 200k au pungufu ya hapo, inayobaki 50k save na 50k pocket money.
Kwa hii mishahara kodi unaisotea mwezi wa mwisho, usimuwekee hizo 40k kila mwezi mwenye nyumba utateseka sana.
Iko hivi..
Kwa mshahara wa namna hiyo huwezi kufanya mambo yote kwa wakati mmoja, huwezi nunua hayo makitu yote kwa wakati mmoja, utafeli mapema sana.
Mishahara midogo mingi huishia kwenye msosi, ukiweza kujibana hapa umewini. Kama gesi ipo ndani nunua mchele kg hata 10 na unga kg 5.
Mafuta hata lita 1 na dagaa za kutosha utajipimia. Mpaka hapa msosi ushaua.
Mambo ya nyanya sijui vitunguu, carrit hizo ni anasa achana nazo kwanza.
Mpaka unafika miezi 4 geto utajikuta geto limekamilika kwa vitu vingi. Hapo sasa utasave pakubwa na utazingatia mlo kamili kama binadamu wa kawaida.
UnasemaaMatatizo yako sio sawa na matatizo ya wngn
It's fun umesema pesa ndogo ni vipi anaweza kuidunduliza na kufungua biasharaJitahidi udundulize ufungue biashara hiyo pesa ndogo mno kwa maisha ya Dar labda kama huna familia
Una akili timamu?It's fun umesema pesa ndogo ni vipi anaweza kuidunduliza na kufungua biashara
Hilo unapaswa kujiuliza wewe kwa ushauri uliotoaUna akili timamu?
Una akili timamu?Hilo unapaswa kujiuliza wewe kwa ushauri uliotoa
Takataka.🚮Una akili timamu?
Jibu swali kwanza kabla ya kuendelea.