Mshahara wangu ni laki 3 kwa mwezi, nitumie shilingi ngapi kwa siku ili unitosheleze?

Mshahara wangu ni laki 3 kwa mwezi, nitumie shilingi ngapi kwa siku ili unitosheleze?

Ni pesa mingi kabisa hiyo ila nimeona wengi hapa hawajawahi kuishi kwa mshahara huo ndio maana wanakupa figire za kufikirika usizoweza kuishi.
Ukiifata screenshot ya jamaa hapo juu utaishia kua na madeni tu, mwanaume unakuaje na pocket money ya 10k vocha, kuhonga, maji, dharula za hapa na pale utatatua vipi..
Kwanza kabisa set vipaumbele kwamba mwezi huu nalipa kodi/nanunua kitanda/nanunua feni au mazaga flani. Pesa inayobaki unafanyia matumizi mengine ikiwemo na msosi.
Piga bajeti ya kutumia 200k au pungufu ya hapo, inayobaki 50k save na 50k pocket money.

Kwa hii mishahara kodi unaisotea mwezi wa mwisho, usimuwekee hizo 40k kila mwezi mwenye nyumba utateseka sana.


Iko hivi..
Kwa mshahara wa namna hiyo huwezi kufanya mambo yote kwa wakati mmoja, huwezi nunua hayo makitu yote kwa wakati mmoja, utafeli mapema sana.
Mishahara midogo mingi huishia kwenye msosi, ukiweza kujibana hapa umewini. Kama gesi ipo ndani nunua mchele kg hata 10 na unga kg 5.
Mafuta hata lita 1 na dagaa za kutosha utajipimia. Mpaka hapa msosi ushaua.

Mambo ya nyanya sijui vitunguu, carrit hizo ni anasa achana nazo kwanza.

Mpaka unafika miezi 4 geto utajikuta geto limekamilika kwa vitu vingi. Hapo sasa utasave pakubwa na utazingatia mlo kamili kama binadamu wa kawaida.
 
Ahahah kila mtu anakipaji chache kuna watu wanalipwa 200k wanasave cha ajabu kuna watu wanalipwa 1 ML afu saving imemshinda kabisaaa
Mkuu huo mshahara wako pangilia mwenyewe kwasabab uneutafuta mwenyew

Hapa kuna watu watakushauri kuwa hiyo pesa ni ya baa tu ukilinganisha na mishahara yao
Sure 300k unasave vizuri kabisa.
 
Ni pesa mingi kabisa hiyo ila nimeona wengi hapa hawajawahi kuishi kwa mshahara huo ndio maana wanakupa figire za kufikirika usizoweza kuishi.
Ukiifata screenshot ya jamaa hapo juu utaishia kua na madeni tu, mwanaume unakuaje na pocket money ya 10k vocha, kuhonga, maji, dharula za hapa na pale utatatua vipi..
Kwanza kabisa set vipaumbele kwamba mwezi huu nalipa kodi/nanunua kitanda/nanunua feni au mazaga flani. Pesa inayobaki unafanyia matumizi mengine ikiwemo na msosi.
Piga bajeti ya kutumia 200k au pungufu ya hapo, inayobaki 50k save na 50k pocket money.

Kwa hii mishahara kodi unaisotea mwezi wa mwisho, usimuwekee hizo 40k kila mwezi mwenye nyumba utateseka sana.


Iko hivi..
Kwa mshahara wa namna hiyo huwezi kufanya mambo yote kwa wakati mmoja, huwezi nunua hayo makitu yote kwa wakati mmoja, utafeli mapema sana.
Mishahara midogo mingi huishia kwenye msosi, ukiweza kujibana hapa umewini. Kama gesi ipo ndani nunua mchele kg hata 10 na unga kg 5.
Mafuta hata lita 1 na dagaa za kutosha utajipimia. Mpaka hapa msosi ushaua.

Mambo ya nyanya sijui vitunguu, carrit hizo ni anasa achana nazo kwanza.

Mpaka unafika miezi 4 geto utajikuta geto limekamilika kwa vitu vingi. Hapo sasa utasave pakubwa na utazingatia mlo kamili kama binadamu wa kawaida.
Utaandika na kuyapamba maandishi lakini ukweli utabaki kuwa ni poverty.

Kama ulikuwa hujui poverty ni nini basi ukiishi kwa style hiyo ndio umaskini wenyewe, upige vita kwa nguvu zako zote.

Hapo ukizaa mtoto unakuja kumpa mateso tu duniani.
 
Utaandika na kuyapamba maandishi lakini ukweli utabaki kuwa ni poverty.

Kama ulikuwa hujui poverty ni nini basi ukiishi kwa style hiyo ndio umaskini wenyewe, upige vita kwa nguvu zako zote.

Hapo ukizaa mtoto unakuja kumpa mateso tu duniani.
Hapa anapata somo aishije kwa kipato hicho alichonacho na afanye saving inapobidi.

Wala hatubishani kama ni poverty au lah, au aoe au azae ama asizae ama akiwa na familia iweje.
Sio lengo la uzi.
 
Fanya Hivi
Zaka 10% : 30,000/=
Matumizi 40% : 120,000/=
Saving 30%:90,000/=
Dharula 10%:30,000/=
Sadaka 5%:15,000/=
Msaada 5% : 15,000/=
Zaka, Sadaka na Msaada tayari ni 60,000/- ambayo ni 20% ya kipato chake. Hayo ni matumizi mabaya ya hela.

Hebu nikuulize wewe ukiwa unaishi mjini una survive vipi kwa 120,000/- kwa siku 30 ambayo ni sawa na 4,000/- kwa siku (hapo tutoe vitu vyote tuseme unatumia tu nauli na chakula).

Mkiwa mnaandika muwe serious asee acha masihara.
 
Inategemea uko Dar au Mkoani, Mfano kwa Dar jitahidi ukae eneo ambalo kodi haizidi 50,000/=.Baada ya kodi kinafuata chakula, Pika nyumbani, Mchele Kilo 15,Unga kilo 10 Mwezi unatoboa!!
Usafiri na Vocha, Kama ukikaa karibu na eneo la kazi, utasave pesa ya Nauli

Mwisho usisahau Sadaka, na jiongeze pia mkuu Biashara ndogondogo zinasaidia
 
Back
Top Bottom