Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Huu n kama muongozo mzee, hizo no zako peleka sehemu unapoona panafaa.Bills....no
Mchele....no
Ngano..no
Mafuta...kata 0.5
Mayai..no
Sukari..no
Viazi...no
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu n kama muongozo mzee, hizo no zako peleka sehemu unapoona panafaa.Bills....no
Mchele....no
Ngano..no
Mafuta...kata 0.5
Mayai..no
Sukari..no
Viazi...no
Pesa bado itabaki mana sio kila kitu utanunua kila siku kuna vingine unaweza kuvuta zaidi ya miezi miwili ndio ukannua tena awe anaishi mwnyw tuuHapo home hawajalia
Ukisikia kuishi kwenye mstari na mahesabu makari ndioo ila bad news ni watu wawili tu kati ya kumi wanaweza hili kama mdau anaishi Dar hiyo hela bila kificho wala haya yakusema ni ndogo sanaaa atakuwa anatafutia tumbo tu na siku zinaenda
akiweza hilo anatoboa, ila akijifanya sijuh ana mmoja anamuhudumia atajakuja kutembelea ndala za umoja mpka atasema!Daah hapo kwa wanawake nimecheka mno ila watu tusio na hela tunaish kwa tabu mno
Naposema nyumbani bado hawajalia ninamaanisha, mama, baba, ndugu maana ukiona mtu anapokea mshahara huo mara nyingi nyuma ana watu wanamtegemea huko na ndio maana ni vigumu kutoboa kama usipoziba masikio au usipopambana kwa jasho na damu.Pesa bado itabaki mana sio kila kitu utanunua kila siku kuna vingine unaweza kuvuta zaidi ya miezi miwili ndio ukannua tena awe anaishi mwnyw tuu
Hii n kama muongozo tuu, ila n vigumu sana kuishi nayo.Ukisikia kuishi kwenye mstari na mahesabu makari ndioo ila bad news ni watu wawili tu kati ya kumi wanaweza hili kama mdau anaishi Dar hiyo hela bila kificho wala haya yakusema ni ndogo sanaaa atakuwa anatafutia tumbo tu na siku zinaenda
kwa basic needs hiyo hela inatosha kabisa ila wengi wenu mnajiongelea wenyewe yani mnajipicture wenyewe kwa hiyo hela ndio maana mnaona haitoshiUkisikia kuishi kwenye mstari na mahesabu makari ndioo ila bad news ni watu wawili tu kati ya kumi wanaweza hili kama mdau anaishi Dar hiyo hela bila kificho wala haya yakusema ni ndogo sanaaa atakuwa anatafutia tumbo tu na siku zinaenda
Mnaji-picture?kwa basic needs hiyo hela inatosha kabisa ila wengi wenu mnajiongelea wenyewe yani mnajipicture wenyewe kwa hiyo hela ndio maana mnaona haitoshi
NImeichukua hii mkuu mimi mwenyewe mshahara wangu ni 400k mpaka 600k lakini lakini nikiweka ishu za manzi bac pesa nakuwa siiiyoni kabisaakiweza hilo anatoboa, ila akijifanya sijuh ana mmoja anamuhudumia atajakuja kutembelea ndala za umoja mpka atasema!
chapa tembea tena kama maa-single mothe wala hutumii nguvu nyingi ukikutana na mwenye kazi ukicheza vizuri na stress zao anakuhonga kabisa!NImeichukua hii mkuu mimi mwenyewe mshahara wangu ni 400k mpaka 600k lakini lakini nikiweka ishu za manzi bac pesa nakuwa siiiyoni kabisa
Endekeza tumbo...........Huu n kama muongozo mzee, hizo no zako peleka sehemu unapoona panafaa.
Kwenye mishemishe zang kwa siku huwa sikosi laki na nusu lakin najishangaa sina savings za kutosha duuh maisha haya! 🤔🤔Sure 300k unasave vizuri kabisa.
Hakunaga mshahara unaotosha ndugu usimkatishe mwenzako tamaa.Utaandika na kuyapamba maandishi lakini ukweli utabaki kuwa ni poverty.
Kama ulikuwa hujui poverty ni nini basi ukiishi kwa style hiyo ndio umaskini wenyewe, upige vita kwa nguvu zako zote.
Hapo ukizaa mtoto unakuja kumpa mateso tu duniani.
Inategemea na yuko mkoa gani mkuu kama ni dar mbona ni changamoto mambo mengine ni ya kizamani sana hata kama ndio kusave pesa hapanaNunua baiskeli ya kuendea kazini. Usipande dala dala.
Awapige pindi kwani umeambiwa mtoa mada ni ndugu yake na Mpwayungu Village ebu acheni kukariri maisha unadhani kufundisha ni kazi ndogoJitahidi uwe unafunga, kula jioni tu.
Muda wako wa ziada jitahidi kutafuta kitu kingine cha kukuingizia kipato. Tafuta hata watoto wa majirani uwe unawapiga pindi. Anza kujibana na kufanya saving ili ufungue kiofisi cha kuku-boost