Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Yaah kabisa mkuu bila nidhamu ya pesa hata uwe unalipwa 2M bado utaona haitoshi kufanya chochote.Ni kweli mkuu kadri kipato kinavyoongezeka na lifestyle inabadilika....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaah kabisa mkuu bila nidhamu ya pesa hata uwe unalipwa 2M bado utaona haitoshi kufanya chochote.Ni kweli mkuu kadri kipato kinavyoongezeka na lifestyle inabadilika....
Naanza rasmi kujibana ili walau kufikia December niwe nimesogeza kamjengo kangu maana umri unakwenda kasi!Yaah kabisa mkuu bila nidhamu ya pesa hata uwe unalipwa 2M bado utaona haitoshi kufanya chochote.
Kumbe ke huwa hawatumii mishahara yao??? Ipoje hiii?? Au wanadanga??Ungekua KE mshahara wako ungebaki kama ilivyo kwakua ni ME pambana sana
10,000/ daySamahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi.
Lakini pesa hii haikai kabisa, yaani hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shingapi kama pesa ya chakula.
Msaada please
Pia Soma: Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?
Hatudangi,Kumbe ke huwa hawatumii mishahara yao??? Ipoje hiii?? Au wanadanga??
A big noo!!! Hapo una baby zaidi ya mmoja hamna baby wa kucover all your expenses alafu wew usave mshahara wako wote!Babe zetu hutupatia everything, maybe kama wewe humpi mwanamke wako
Hatudangi,
😁😁😁😁🤣🤣🤣 Wengine wana danga na baba zaoKuna kipind nilishangaa sana kuona mdada anafanya kazi sheli tena analipwa tu laki na nusu kwa mwezi hyo ni hela ndogo sana lakin hapohapo kapanga apartment na ana simu ya laki 8+ na anavaa na kupendeza vizuri sana, Dah hawa wanaweka waangalie hivihivi wana miujiza yao?!!!, 😂😂
Asante sana kaka#1.....30,000 toa Dhaka.
Sado ya mahand na kusaga 2300 wiki.
Dagaa WA 2000 wiki
Mafuta 2000 wiki
Viungo 2000 wiki
Mchele 1.5 3000 wiki. sio lazima super
Chumvi 500 mwezi
Sukar ya 3000 mwenzi
Viungo vya chai 1000 mwenzi
Total 14,800 per week.
Bila kutoa bidhaa za mwezi. 14800 * 4 = 59,200.
Ukiweka dharura ya 20,000 ukitokea hujapata Muda WA kupika, inakuwa 79,200.
Hela ya gesi 20000 nayo Ni ukitokea ndo umejaza.
#2..........Jumla 99,200/=
Umemaliz Kula mwenzi mzima.
#3........... 30,000/= kODI
#4.......... 20,000/= kusaidia wengne
Nguo najua zipo fua piga pasi.
Viatu vipo.... vya kiwi Ni Bora zaidi. Ni kung'arisha tu.
Kwa mwenzi
180,000/= Matumizi Tena hapa nimezidisha sana
120,000/= imebaki
ISHI LEVEL YAKO MKUU 300K na Malengo unatoboa.
So utakuwa unafanyia tumbo bila maendeleo
Huu n muongozo tuu mkuu sio lazima uishi nayo kama ilivyo, ila mkuu 😎 kwa ht kama huna pesa ndio ushindwe ht kuweka msosi wa maana ndan?So utakuwa unafanyia tumbo bila maendeleo
So utakuwa unafanyia tumbo bila maendeleo
aisee, watu mna mahesabu makali
Jumulisha matumizi Yako yote Kwa mwezi linganisha hiyo laki 3 vs matumizi yasiyo ya muhimuSamahani jamani mimi ninalipwa mshahara wa 300k kwa mwezi nafanya kazi katika kampuni moja hivi.
Lakini pesa hii haikai kabisa, yaani hapa nilipo sijui natakiwa kutumia shingapi kama pesa ya chakula.
Msaada please
Pia Soma: Unatumiaje laki tatu kwa mwezi?