Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Shemeeji
Hahhahaaaaa hahhahaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shemeeji
Akitumia elimu yake aliyoipata nchini Afrika kusini ya Budhisim...na mchanganyo wa vitabu mbalimbali vya kishetani...ujuzi wake katika meditation na ulozi...
Sasa amekua kinara katika mada zote za kishetani hapa jukwaani JF... Na kwa kuwa Jf kila mtu anavutiwa na mada hizi za kutisha na kustaajabisha...basi amepata wafuasi wengi akiwafundisha na kuwaelewesha na polepole kuwaelekeza namna ya kufanya...si tu katika meditation bali pia katika vitu hatari kama viapo vya damu,uzuri wa shetani,eti lucifer sio shetani...na mengine mengi ambayo amekua akiyatoa....
1) Kuweni makini na anayoyasema
2) Na muwaze na kuamua ni kwa faida ya nani mnajifunza haya
3) Mkajiulize je Mungu wenu anafurahia hayo?
4) Na kwann watu wengi mnaotaka sana kujua haya ni wakristu?
5) Muogopeni mno...anataka kuwapotosha imani yenu
Hayo ni maoni yangu..
Naona Mshana Jr. Kakutumia jini umpromoti.
sasa Avae...si ufumgue tu sehemu ya kutatua hizi shida za dada zetu...maana wanaume wanawaendesha puta balaa....Duu hii kali
sijakataa...ila huoni huu ni ulozi...wa wazi wazi halafu mnasema ni mambo ya kizungu????...hapo bro ulitaka nitumie akili gani....?haya mambo yapo toka enzi maamuzi ni yako kuyafata au kutoyafata. Tumia akili kuchambua mambo ndugu
inawezekanaje hiyo...mi nawatahadharisha watu ...wasimfuate...wewe unasema kanitumia jini....nimpe promo...sasa huoni we ukop nae team moja...mnaabudu makitu ya ajabu wakati MUNGU wa kweli yupo?Naona Mshana Jr. Kakutumia jini umpromoti.
kwa hiyo na wewe unaungana nae....mnaabudu Supreme Beings....huku Mkiamini na nyie mna Nguvu na ni Miungu wadogo!Kila mtu na mtazamo wake by ma side sijaona kosa la Mshana Jr.
kwa signature yako na unayoyaandika...nachelea kusema........unajiingiza kwenye kitu kilichokuzidi umri...na akili...maaana hufatilii unavyoamini...ila unatamani maarifa mapya kutoka kwa binadamu....na unaacha maarifa ya Muumba wako...Asante kwa kunijuza ngoja nianze kumfuatilia post zake zinapatikana jukwaa gani.... mana ninavyopenda mada za hivyo
sijakataa...ila huoni huu ni ulozi...wa wazi wazi halafu mnasema ni mambo ya kizungu????...hapo bro ulitaka nitumie akili gani....?
mwaka 1999 nilisoma kitabu kinaitwa Yoga na Mkristu...nilishangaa mno...nilikinunua bookshop ya kanisa katoliki pale Moshi mjini...nilijiuliza maswali mengi mno...hv kitu hichi inaweza kuunganika na hichi? yaani mafuta yachanganyike na maji...no way....niligoma nikaenda hadi kwa paroko.....karibia nihame ukatoliki...bahati nzuri...tulikubaliana kile kitabu ni upotoshaji na kikaondolewa pale library....MUNGU....hachanganyiki na uovu...na yoga...na meditation...na budhism...na mambo yote ya tripitaka ni evil cult....hayo ndio maamuzi niliyoyafanyasijasema ya kizungu. ila tuwe makini sana katika maamuzi. hata kwenye maandiko yapo.
Ni kweli...na hawa wapya ambao hawajui kitu?...waachwe wafuatilie?Ukitaka mafundisho yoyote yasikuathiri, acha kufuatilia
mwaka 1999 nilisoma kitabu kinaitwa Yoga na Mkristu...nilishangaa mno...nilikinunua bookshop ya kanisa katoliki pale Moshi mjini...nilijiuliza maswali mengi mno...hv kitu hichi inaweza kuunganika na hichi? yaani mafuta yachanganyike na maji...no way....niligoma nikaenda hadi kwa paroko.....karibia nihame ukatoliki...bahati nzuri...tulikubaliana kile kitabu ni upotoshaji na kikaondolewa pale library....MUNGU....hachanganyiki na uovu...na yoga...na meditation...na budhism...na mambo yote ya tripitaka ni evil cult....hayo ndio maamuzi niliyoyafanya