TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Pole dear... You will be fine.Wee,sema kweli?
Ngoja nami nimfuate ghetto...hii depression itaniua wakuu🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole dear... You will be fine.Wee,sema kweli?
Ngoja nami nimfuate ghetto...hii depression itaniua wakuu🤔
Jirani 😂😂Hivi hua inakuaje watu wanafahamiana humu Jf...🙄
Nina ham nipone nikaupe mwili pole jirani...🤣Jirani 😂😂
Zote kwa pamoja 😂🤣🤣🤣 sio dipresheni?
Asante sana kipenz,ni wewe pekee umetake serious comment yangu wengine ni kucheka tu.Pole dear... You will be fine.
Wema wake kwangu umekuwa deni. Natamani siku moja nimuenzi kwa kuwasaidia wengine pia.Nakuelewa na naamini ulichoandika ni ukweli mtupu maana namjua sana Mshana Jr alivyo na utu (Huruma, Ukarimu, Kujali na Utumishi wake kwa wengine). Pia ni mzalendo mahiri na jasiri wa nchi yetu Tanganyika.
Jirani utapona tena haraka.. You are the strongest person so vumilia kidogo tu.. Kwanza mpe pole na wifi maana najua kapata heka heka sana.Nina ham nipone nikaupe mwili pole jirani...🤣
Naam!Wema wake kwangu umekuwa deni. Natamani siku moja nimuenzi kwa kuwasaidia wengine pia.
😂😂Vitengo wana mbinu nyingi
Nimeishiwa maneno ya kusema. Ahsante sana enzo1988 Barikiwa sana 🙏 Mbona kama unanijua nje ya JF naanza kukuogopa 😅😅😅😅😅Mshana Jr , huyu ni legend karuka viunzi vingi sana hapa duniani so hakuna tatizo gumu kwake.
Grahams , huyu kwenye masuala ya ndoa anafaa sana coz ana utulivu ,hekima,busara,maarifa, uzoefu na ujuzi kwenye hii sekta!
Pascal Mayalla , huyu kwenye uandishi atakupa uzoefu ingawaje pia kwenye mambo ya kijamii yupo vizuri pia.
Bantu Lady , anapenda sana kusaidia watu na ana moyo wa upendo na ni msiri pia.
Habari wakuu!
Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.
Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.
Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu
1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi
Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.
Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari
Mimi ni mtupori_tz
Ki jf jf huwa nakuelewa sana. Una roho ya unyamwezini sana. Uliwahi toa kitabu jukwaa la vitabu nimekisoma nusu naona si habaUmenipa nguvu za kumalizia kusoma Kitabu fulani kihusuyo hayo mambo ili niwe mbobevu.
Barikiwa sana Mkuu 🙏🙏🙏
Unachokitafuta utakipata leo ni Jumatatui do like to do that better chill and watch or you want me to call nazjaz to make it hot hotter😀
Asante kaka mkubwa.. Long time no see you.. Hope you are doing wellHongera sana kwa kazi njema ya ushauri na msaada unaookoa maisha ya wengine.
Maisha ni kitabu cha hadithi,kitasimuliwa kama kitakavyoandikwa na muhusika,,naona simulizi yako inaanza kupendeza ingali mauti haijashinda...maana wengi simulizi huwa za kuvutia baada ya mauti kushinda...hongera kakaDah🙏🏾🙏🏾💪🏿