Mshana jr Anaongoza Asilimia ya Kupata Likes

Mshana jr Anaongoza Asilimia ya Kupata Likes

Likes?! Likes zinaongeza tu mzuka mtu unapozipata. Sasa mtu unakuwa na Likes nyingi halafu michango yako ya hovyo hovyo ndio nini sasa?

Jamii haitaki Likes, inataka michango mizuri inayotolewa na watu wenye akili zilizotulia iliyotuvutia wengi kujiunga na JF.

Sisi wengine Likes tunaona kawaida, tumezishagonga sana kipindi tulichokuwa tunashinda na kulala Facebook.
 
Aseee kumbe sipo....mdau mkuuu hebu tuangalie nasie watoa like naweza nikawepo
 
Back
Top Bottom