Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ushamkula mshana my wii[emoji87]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Sijamla ila si unajuaga maswali ya watu wa mkoani wanajuaga kulana tu
[emoji102]Huyu kashindikana, hadi kwenye ungo[emoji134] [emoji134]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na wewe unazunguka sana. We muulize tu....Mshana we ni mganga au siyo mganga. Akupe jibu, umueleze matatizo yako. Xmonks huwa hawana noma.
Kaanza na Mashaalah.
Nilitupiwa!!! Jiangalie dogo.Hafai hata kidogo huyo bibie na hata hakumaliza mwezi kwa tabia yake kwa nilivyosikia alitupiwa virago vyake usiku na alilia balaaa[emoji1] [emoji15] [emoji124]
Ndio anavyokudanganya nawe unaamini? Utapelekwa kwa Manyau nayu tu maana ndio nyota yake ilipo.Hebu uniambukizage hiyo nyota ya kupendwa namie bwana lols