[emoji122] [emoji122] [emoji122] mi maswali yangu nitauliza usiku[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377][emoji3] [emoji3] [emoji3] nimekuja leo ni tofauti
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Wale ambao ni waoga anzeni kuuliza maswali yenu
Mazingira niliyokulia na mambo niliyokutana nayo... Nimefaidika kwa kuufahamu ulimwengu wa giza katika kiwango cha juu mnoNini kilikuvutia kufuatiliana wanga,tangu ujue mambo hayo umenufaika vp
Misukule ipo ila si kwa kiwango inavyotajwa... Mwingiliano wake ni almost hakunaUnaamini katika misukule,je roho hizi huwa Na maingiliano Na binadamu walio hai!?kama ndio kivp
Ni roho zinazotangatanga ila kuna wakati ni mawazo tu yanayojenga uhalisiaKyle kwetu unaweza kuwa umelala kisha ukasikia mfano Wa sauti ya marehemu ndugu inakuita au kukuambia ufungue mlango au ina njaa,hii ikoje
Ni sehemu ya utambuzi tuuMshana kwa mini ulichagua kuishi maisha unayoishi sasa?
Hicho ndio tunaita jehanumRoho kwanini zitangetange
Unaogopa kifo? Samahani kwa hill swalu![emoji120]Ni sehemu ya utambuzi tuu
Hapana sijawahi kukiogopa kifo bali maumivu yakeUnaogopa kifo? Samahani kwa hill swalu![emoji120]
So if we dream abt our dear ones or hear them calling us, they are not in a safe place( heaven)Hicho ndio tunaita jehanum
Mtu akifa anaumia? Pole kwa maswali. !Hapana sijawahi kukiogopa kifo bali maumivu yake
No sometimes there is a msg they want to deliver and sometimes is the love to their mortalsSo if we dream abt our dear ones or hear them calling us, they are not in a safe place( heaven)