syllae
JF-Expert Member
- May 29, 2015
- 1,793
- 1,919
Bora umekuja mkuu,,[emoji23] [emoji124] [emoji23]
Ilikuaje kuaje mpak ukabobea kweny mambo hayo? Nan alikushawishi zaid?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umekuja mkuu,,[emoji23] [emoji124] [emoji23]
Interview bado haijaanzaBora umekuja mkuu,,
Ilikuaje kuaje mpak ukabobea kweny mambo hayo? Nan alikushawishi zaid?
Aha nilisahau ,kumbe mpak usiku ?basi fresh mkuuInterview bado haijaanza
Si ilikuwa iwe J.tano mbona naona bado watu wanaulizia? Hahaha.Interview bado haijaanza
Pacha wangu naona uko mbele kujua mambo ya uchanganyaji wa unga wa mitiMshana Jr.naruhusiwa kukuuliza swali lolote?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .......pacha am missing you so much,huwa unaingia JF mara chache sana!!Pacha wangu naona uko mbele kujua mambo ya uchanganyaji wa unga wa miti
Hua naingia kila Mara,sema Mara nyingi hua nasoma tu post za members kuchangia ni Mara chache sana, vp pacha habari za maisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .......pacha am missing you so much,huwa unaingia JF mara chache sana!!
Hapana mimi sio member wa hayo mambo na naweza kusema ni mpinzani namba moja wa mambo ya gizaKaribuni mshana Jr, baada ya ratiba ngumu Leo tumefanikio kuwa hapa,
Tuanze
1.mshana Jr je wewe kweli ni member Wa mambo ya Giza?upo wapi zaidi mchawi,mshirikina,mganga au mtabiri?
Nimejifunza sehemu mbalimbali lakini msingi ulianzia South Africa 1995Mkuu Mshana Mimi ningependa kujua kiundani kidogo kuhusu utaalamu wako wa "meditation".. Uliupatia wapi na unawezaje kufanya hiyo kitu bila kuchanganya na Ushirikina?
Karibu lakini tuzingatie welediMshana Jr.naruhusiwa kukuuliza swali lolote?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] nimekuja leo ni tofautiMshana jnr huyu huyu? Akiyajibu haya mchana wa leo mniite[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]