Mshana Jr live interview on DJ sepetu show!

Mshana Jr live interview on DJ sepetu show!

Swali langu kwa Mr mshana ni utafsiri wa ndoto niliyoota usiku wa kuamkia juzi, iko ivi nimekaa sehemu na rafiki wawili wa kike, mmoja ameshukiwa na upako wa kuombea watu lkn nikawa naonyeshwa kwamba uombeaji wake si wa kimungu coz alikuwa anaombea kwa kutumia hesabu za kujumlisha, lkn wengine hawaoni na nikaonyeshwa kwamba amekuwa tajiri, sasa muda mfupi nipo najiuliza niwe mfuasi wake au niachane nae ghafla akatokea km mtu akanambia ninfate anionyeshe njia nikamfata kweli nikaiona njia ya miguu, Mara paaa akapotea lkn wakati anapotea nikagundua hakuwa mtu ila ni kivuli cha mtu wa kiume, nikashtuka usingizini hii ndoto ina maana gani Mshana
Nitarejea

Tuendeleee sasa =====nimerejea
Mara nyingi ndoto tuotazo tafsiri yake huja kinyume isipokuwa tu zile ndoto maono au ndoto taarifa.... Na kila ndoto hubeba tafsiri zaidi ya moja
Na kuna baadhi ya ndoto hazina maana yoyote isipokuwa ni vague memories ya matendo yetu yote kimawazo matendo na maneno
 
Nitafurahi kukiwa na maswali tofauti
1. Elimu yako ni kiwango(level) gani? Umejikita kwenye fani gani?

2. Unajishughulisha na shughuli gani za kujipatia kipato

3. Unawashauri nini vijana ili waweze kujikwamua kiuchumi kulingana na wimbi la ukosefu ajira

4. Mambo/vitu gani unavipenda na hauvipendi katika maisha yako ya kila siku
 
Tafsiri yake ni mambo ya giza yasiyo na ithibati za kisayansi
...Je uchawi una faida(Kama zipo ni zepi?)

Ipi ni asili ya uchawi, je ulikuwapo tangu za uumbaji?

Mtu anawezaje kujifunza/kuacha uchawi?

Kuna uhusiano gani kati ya rangi nyekundu na nyeusi kwenye uchawi?

Last but not least ni upi mtazamo wako kuhusu uchawi je unafaa kutumika?

Karibu.
 
Back
Top Bottom