Mr Equalizer
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 611
- 727
Soma vizuri heading yangu mkuu, nimesema na wengine pia.Walishakatazaga humu kumtagi mtu kwenye heading, tena walisema badala ya kuwapotezea muda wengine ni bora umwendee inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu , vp kwenye stock yenu huko autocom zipo ?Noah zote new model za kuanzia 2002-2007 zinatumia vvti engine.
kama hii hapa.
View attachment 561818 View attachment 561819 View attachment 561820
Kitu gani ya usiku hiyo?[emoji1] [emoji1] [emoji1]Kwanza nina wasiwasi mshana Jr hajui mambo haya, labda ungemuuliza injini za ile kitu ya usiku[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri soon atakuja kusema mwenyewe mshana Jr, maana hapa nnavyomtaja tu keshajua
Ile inayòpaa eti. Dakika tano upo ufaransa, marekani etc. [emoji1]
Hizo za bure hazina uhakika mkuu. Bora niagize ya kwangu mwenyewe hali ni mbaya ,hii Noah inaweza kunisadia mambo mengi sana maana ina nafasi kubwa ndani.Why unaagiza NOAH? Nakushauri agiza kitu kingine na ikibidi hata Tractor, NOAH tutapewa za bure!
Sent using Jamii Forums mobile app
pamoja sana.Ile inayòpaa eti. Dakika tano upo ufaransa, marekani etc. [emoji1]
By the way, Mim ni muuzaji magari.
Unaweza check thread zangu humu
Umh .Subiri soon atakuja kusema mwenyewe mshana Jr, maana hapa nnavyomtaja tu keshajua
Sent using Jamii Forums mobile app