Mshana jr na wengine njoni huku.

Mshana jr na wengine njoni huku.

Mr Equalizer

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2013
Posts
611
Reaction score
727
Nataka niagize Noah new model, lakini kuna jamaa kaniambia eti zinatumia injini ya D-4 na injini hizi watu wanazilalamikia sana. Je ni kweli Noah New modal inatumia D-4?

Hizi old model nasikia ni ngumu, ila muonekana wake siupendi ukilinganisha na New model.

karibuni watalaamu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noah zote new model za kuanzia 2002-2007 zinatumia vvti engine.
kama hii hapa.

365007-05.jpg
365007-01.jpg
365007-02.jpg
 
Ebu wajuzi mje basi, lundo la makinikia laja karibuni! Ndio, lazima nasi tujiandae kwa hili...
 
Back
Top Bottom