Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ana ID's kibao humu na hii sio mara yake ya kwanza kuanzisha thd ya kujisifia,
Thd zake nyingi ni mambo ya kufikirika tu,uchawi na ushirikina,halafu ukimpiga swali gumu hua hajibu,anawajibu wale aliowashikia akili maswali mepesi mepesi.
Jf imeijua lini...? Mshanajr ni mkanda na mdini sana. Hayo yanamuondolea sifa kuu otherwise yuko poa.
I rather consider Robert Hariel.
Kwani Mshana Jr ni wa kanda (na dini) gani?Jf imeijua lini...? Mshanajr ni mkanda na mdini sana. Hayo yanamuondolea sifa kuu otherwise yuko poa.
I rather consider Robert Hariel.
Niache hizo nishike zipi? kusifu na kuabudu pasipostahili? kua Msukule na kushikiwa akili kuamini hekaya za kufikirika? kuamini Ukichoma Chumvi ya Mawe unaondoa mikosi na kua tajiri? 😀 😀Acha hizo kudadadeki.
Nitakung'atraaa
Mkuu with due respect,hizo nyuzi za Ulozi na mambo ya kufikirika vimekusaidia nini kwenye maisha yako binafsi?Anastahili pongezi haswa nyuzi zake za Ulozi
Mshana jr ni konk wa JF
Yeah hapo nakubali bila ubishi ili lipo wazi.Salaam wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi binafsi naamini Mshana Jr ndiye member bora wa jf wa muda wote kama alivyo pele kwenye kandanda na muhammad ali kwenye masumbwi.
Huyu mwamba hana dharau wala kejeli hata kama utakuwa na mtazamo tofauti katika mada fulani au jambo fulani hutomuana akikukashifu au kukutukana kama member wengine inaonekana ni mtu mwenye busara sana.
Jinsi avowasilisha mada uchambuzi uliotulia mfano ule ushauri wake kwa SHABAN KAONEKA NA UCHAMBUZI WAKE KUHUSU ROSE MUHANDO NK INAONESHA NI MTU MWENYE AKILI SANA.
Japo watu wanasema huwa anakopi kwa watu ila sijajua huu ushauri kwa kaoneka amekopi kwa nani nadhani ni wivu tu wa Kitanzania.
MSHANA JR ULIEJAA BUSARA, HEKIMA NA AKILI NYINGI MIMI BINFSI NAAMINI WEWE NDIYE GOAT WA JF.
MWENYEZIMUNGU AKUBARIKI NA AKUPE MAISHA MAREFU ILI TUPATE MAARIFA ALIYOKUPATIA.
MWENYEZIMUNGU ATUBIRIKI WANA JF WOTE.
UZI TAYARI.
Ni COWMshana Jr ni zaidi ya GOAT
Niache hizo nishike zipi? kusifu na kuabudu pasipostahili? kua Msukule na kushikiwa akili kuamini hekaya za kufikirika? kuamini Ukichoma Chumvi ya Mawe unaondoa mikosi na kua tajiri? 😀 😀
Wacha mi nitafsiri tuSalaam wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi binafsi naamini Mshana Jr ndiye member bora wa jf wa muda wote kama alivyo pele kwenye kandanda na muhammad ali kwenye masumbwi.
Huyu mwamba hana dharau wala kejeli hata kama utakuwa na mtazamo tofauti katika mada fulani au jambo fulani hutomuana akikukashifu au kukutukana kama member wengine inaonekana ni mtu mwenye busara sana.
Jinsi avowasilisha mada uchambuzi uliotulia mfano ule ushauri wake kwa SHABAN KAONEKA NA UCHAMBUZI WAKE KUHUSU ROSE MUHANDO NK INAONESHA NI MTU MWENYE AKILI SANA.
Japo watu wanasema huwa anakopi kwa watu ila sijajua huu ushauri kwa kaoneka amekopi kwa nani nadhani ni wivu tu wa Kitanzania.
MSHANA JR ULIEJAA BUSARA, HEKIMA NA AKILI NYINGI MIMI BINFSI NAAMINI WEWE NDIYE GOAT WA JF.
MWENYEZIMUNGU AKUBARIKI NA AKUPE MAISHA MAREFU ILI TUPATE MAARIFA ALIYOKUPATIA.
MWENYEZIMUNGU ATUBIRIKI WANA JF WOTE.
UZI TAYARI.