Mshana Jr ndiye GOAT wa JF

Mshana Jr ndiye GOAT wa JF

Jf imeijua lini...? Mshanajr ni mkanda na mdini sana. Hayo yanamuondolea sifa kuu otherwise yuko poa.

I rather consider Robert Hariel.

Mkuu shukrani Sana.

Ila mshana Jr anafanya vizuri Kwa upande wake.
Labda mapungufu yake ni kushindwa kuwa mkweli. Hali inayomfanya aonekane anabusara na hekima.
.
 
Salaam wakuu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi binafsi naamini Mshana Jr ndiye member bora wa jf wa muda wote kama alivyo pele kwenye kandanda na muhammad ali kwenye masumbwi.

Huyu mwamba hana dharau wala kejeli hata kama utakuwa na mtazamo tofauti katika mada fulani au jambo fulani hutomuana akikukashifu au kukutukana kama member wengine inaonekana ni mtu mwenye busara sana.

Jinsi avowasilisha mada uchambuzi uliotulia mfano ule ushauri wake kwa SHABAN KAONEKA NA UCHAMBUZI WAKE KUHUSU ROSE MUHANDO NK INAONESHA NI MTU MWENYE AKILI SANA.

Japo watu wanasema huwa anakopi kwa watu ila sijajua huu ushauri kwa kaoneka amekopi kwa nani nadhani ni wivu tu wa Kitanzania.

MSHANA JR ULIEJAA BUSARA, HEKIMA NA AKILI NYINGI MIMI BINFSI NAAMINI WEWE NDIYE GOAT WA JF.

MWENYEZIMUNGU AKUBARIKI NA AKUPE MAISHA MAREFU ILI TUPATE MAARIFA ALIYOKUPATIA.

MWENYEZIMUNGU ATUBIRIKI WANA JF WOTE.

UZI TAYARI.
Yeah hapo nakubali bila ubishi ili lipo wazi.
 
Niache hizo nishike zipi? kusifu na kuabudu pasipostahili? kua Msukule na kushikiwa akili kuamini hekaya za kufikirika? kuamini Ukichoma Chumvi ya Mawe unaondoa mikosi na kua tajiri? 😀 😀

Mtu anamaamuzi ya kuchagua chakuamini.
Ila hana uamuzi wa kuchagua Uhalisia. Uhalisia ni uhalisia tuu.

Kuna Watu wameamua kuamini Ng'ombe ni Mungu.
Lakini kiuhalisia Ng'ombe atabaki kuwa mnyama anayefugwa kwaajili ya chakula na kazi za binadamu
 
Salaam wakuu.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi binafsi naamini Mshana Jr ndiye member bora wa jf wa muda wote kama alivyo pele kwenye kandanda na muhammad ali kwenye masumbwi.

Huyu mwamba hana dharau wala kejeli hata kama utakuwa na mtazamo tofauti katika mada fulani au jambo fulani hutomuana akikukashifu au kukutukana kama member wengine inaonekana ni mtu mwenye busara sana.

Jinsi avowasilisha mada uchambuzi uliotulia mfano ule ushauri wake kwa SHABAN KAONEKA NA UCHAMBUZI WAKE KUHUSU ROSE MUHANDO NK INAONESHA NI MTU MWENYE AKILI SANA.

Japo watu wanasema huwa anakopi kwa watu ila sijajua huu ushauri kwa kaoneka amekopi kwa nani nadhani ni wivu tu wa Kitanzania.

MSHANA JR ULIEJAA BUSARA, HEKIMA NA AKILI NYINGI MIMI BINFSI NAAMINI WEWE NDIYE GOAT WA JF.

MWENYEZIMUNGU AKUBARIKI NA AKUPE MAISHA MAREFU ILI TUPATE MAARIFA ALIYOKUPATIA.

MWENYEZIMUNGU ATUBIRIKI WANA JF WOTE.

UZI TAYARI.
Wacha mi nitafsiri tu

Kwaio mshana ndo Mbuzi wa Jf ?

M nimetafsiri tu
 
Back
Top Bottom