let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Aisee!!.
Mmmh!
Mmmh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mshirikina Wala ni mtu wakaida tu na kampambana sana . BasiJamaa ana ID's kibao humu na hii sio mara yake ya kwanza kuanzisha thd ya kujisifia,
Thd zake nyingi ni mambo ya kufikirika tu,uchawi na ushirikina,halafu ukimpiga swali gumu hua hajibu,anawajibu wale aliowashikia akili maswali mepesi mepesi.
Kalambishwa vitu vya kilingeniSio bure umelamba asali ww tayari
Google translator watakwambia Mshana ni mbuzi.. Ghafla sifa inakuwa tusiSalaam wakuu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mimi binafsi naamini Mshana Jr ndiye member bora wa jf wa muda wote kama alivyo pele kwenye kandanda na muhammad ali kwenye masumbwi.
Huyu mwamba hana dharau wala kejeli hata kama utakuwa na mtazamo tofauti katika mada fulani au jambo fulani hutomuana akikukashifu au kukutukana kama member wengine inaonekana ni mtu mwenye busara sana.
Jinsi avowasilisha mada uchambuzi uliotulia mfano ule ushauri wake kwa SHABAN KAONEKA NA UCHAMBUZI WAKE KUHUSU ROSE MUHANDO NK INAONESHA NI MTU MWENYE AKILI SANA.
Japo watu wanasema huwa anakopi kwa watu ila sijajua huu ushauri kwa kaoneka amekopi kwa nani nadhani ni wivu tu wa Kitanzania.
MSHANA JR ULIEJAA BUSARA, HEKIMA NA AKILI NYINGI MIMI BINFSI NAAMINI WEWE NDIYE GOAT WA JF.
MWENYEZIMUNGU AKUBARIKI NA AKUPE MAISHA MAREFU ILI TUPATE MAARIFA ALIYOKUPATIA.
MWENYEZIMUNGU ATUBIRIKI WANA JF WOTE.
UZI TAYARI.
Wivu tu kwan nyuzi c kila mtu anazionaJamaa ana ID's kibao humu na hii sio mara yake ya kwanza kuanzisha thd ya kujisifia,
Thd zake nyingi ni mambo ya kufikirika tu,uchawi na ushirikina,halafu ukimpiga swali gumu hua hajibu,anawajibu wale aliowashikia akili maswali mepesi mepesi.
Kujibu comment napo ni jambo la kumsifia mtu?Mwamba yuko vizuri mshana Jr anajibu comment hata za mtu ambae sio famous kwenye JF
Mungu Ibariki CHADEMA[emoji419][emoji375][emoji173]Mshana hana ukubwa wowote. Katawaliwa na mahaba sana kwa chama cha Mbowe. Labda mngesema Magonjwa Mtambuka au GENTAMYCINE.. au hata mimi mwenyewe.
[emoji1545][emoji419][emoji375][emoji173]Mwamba yuko vizuri mshana Jr anajibu comment hata za mtu ambae sio famous kwenye JF
😂😂😂Mshana hana ukubwa wowote. Katawaliwa na mahaba sana kwa chama cha Mbowe. Labda mngesema Magonjwa Mtambuka au GENTAMYCINE.. au hata mimi mwenyewe.