Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpare kawa MbuziiiiiiView attachment 2496051
CCM tulipendana mpaka 1984 tulipopeana talaka 7Nilijua umejiunga na CCM.
Kumbe ni mtu kuwa na Akiba kubwa ya maarifa[emoji16][emoji16]
,😂😂😂Mkuu shukrani Sana.
Ila mshana Jr anafanya vizuri Kwa upande wake.
Labda mapungufu yake ni kushindwa kuwa mkweli. Hali inayomfanya aonekane anabusara na hekima.
.
Kaka rudi kundini CCM tuwafikishe watanzania pamoja kwenye nchi ya ahadi!!!!Au mwaka 1984 na wewe ulikua lile kundi la FRONTLINER,S kaka????CCM tulipendana mpaka 1984 tulipopeana talaka 7
Hapana kipindi hicho sisi ndio tulikuwa wale vijana wa CHIPUKIZI watiifu sana kwa chamaKaka rudi kundini CCM tuwafikishe watanzania pamoja kwenye nchi ya ahadi!!!!Au mwaka 1984 na wewe ulikua lile kundi la FRONTLINER,S kaka????
Hahaha[emoji23]Mshana na Shaban kaoneka ni ndugu kabisa
Kwa hili nitamtetea mtani wangu. Mshana sio mbuzi. Mshana ni mpare[emoji23]Yaani mtani wangu Mshana Jr mmeamua kumuita Goat? Yaani mbuzi huyu tunayemla nyama na kisusio kule migombani?
Kwa hili nitamtetea mtani wangu. Mshana sio mbuzi. Mshana ni mpare.
Hakuna kitu kama hiki unaendehswa na chuki na Wivu ila jamaa ana deserve.Jamaa ana ID's kibao humu na hii sio mara yake ya kwanza kuanzisha thd ya kujisifia,
Thd zake nyingi ni mambo ya kufikirika tu,uchawi na ushirikina,halafu ukimpiga swali gumu hua hajibu,anawajibu wale aliowashikia akili maswali mepesi mepesi.
Wewe alishakuchota akili kama wengine tu,hapo hujielewi zaidi ya kuimba na kuabudu tu.Hakuna kitu kama hiki unaendehswa na chuki na Wivu ila jamaa ana deserve.