Mshana Jr ndiye GOAT wa JF

Mshana Jr ndiye GOAT wa JF

Mpare kawa Mbuziiiiii
IMG-20211211-WA0010-380x250.jpg
 
Kaka rudi kundini CCM tuwafikishe watanzania pamoja kwenye nchi ya ahadi!!!!Au mwaka 1984 na wewe ulikua lile kundi la FRONTLINER,S kaka????
Hapana kipindi hicho sisi ndio tulikuwa wale vijana wa CHIPUKIZI watiifu sana kwa chama
 
Yaani mtani wangu Mshana Jr mmeamua kumuita Goat? Yaani mbuzi huyu tunayemla nyama na kisusio kule migombani?

Kwa hili nitamtetea mtani wangu. Mshana sio mbuzi. Mshana ni mpare.
 
Jamaa ana ID's kibao humu na hii sio mara yake ya kwanza kuanzisha thd ya kujisifia,
Thd zake nyingi ni mambo ya kufikirika tu,uchawi na ushirikina,halafu ukimpiga swali gumu hua hajibu,anawajibu wale aliowashikia akili maswali mepesi mepesi.
Hakuna kitu kama hiki unaendehswa na chuki na Wivu ila jamaa ana deserve.
 
mshana Jr ni mtu maarufu JF basi hana sifa nyingine
 
Back
Top Bottom